Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Habhar yenu bhana!
Utakumbuka kila mwezi huwa tunakuwa na mchakato wa kumsaka miss Chitchat.ukilejea mtililiko tayari tuna mamiss watatu kama ifuatavyo:-
Tukiwa kwenye maandalizi kwenda kwashindanisha warembo wa chitchat yatakayo fanyika hapa hapa chitchat juanzia tarehe 31 oct,Tunaomba upendekeze kwa kutupia jina/majina amaye unaona anafaa kugombea mis chitchat hapa na kuwa miss wetu wa chitchat.Hakuna mashart yoyote sisi tutachambua majina yatayo tachwa sana na kupata majina kumi.
Nawasilisha
Utakumbuka kila mwezi huwa tunakuwa na mchakato wa kumsaka miss Chitchat.ukilejea mtililiko tayari tuna mamiss watatu kama ifuatavyo:-
- 1. Mwezi Aug tunaye miss cacico
2. Mwezi sept tunaye miss Remmy
3. mwezi oct tunaye miss Madame B,ambaye ndiye anaye peperusha bendera hiyo kwa sasa
Tukiwa kwenye maandalizi kwenda kwashindanisha warembo wa chitchat yatakayo fanyika hapa hapa chitchat juanzia tarehe 31 oct,Tunaomba upendekeze kwa kutupia jina/majina amaye unaona anafaa kugombea mis chitchat hapa na kuwa miss wetu wa chitchat.Hakuna mashart yoyote sisi tutachambua majina yatayo tachwa sana na kupata majina kumi.
Nawasilisha
Last edited by a moderator: