JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 693
- 1,162
Katiba ni waraka wa kisiasa na kisheria wenye muafaka wa kitaifa juu ya namna ya kuendesha masuala ya nchi.
Demokrasia ni mfumo wa kisiasa wa kuchagua na kubadilisha serikali kwa njia ya uchaguzi ulio huru na wa haki. Ni Ushirikishwaji wa kweli wa wananchi katika maisha ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Hivyo, Katiba ya Kidemokrasia ni ile ambayo kuandikwa kwake kumetokana na ridhaa na mwafaka wa wananchi.
Demokrasia ni mfumo wa kisiasa wa kuchagua na kubadilisha serikali kwa njia ya uchaguzi ulio huru na wa haki. Ni Ushirikishwaji wa kweli wa wananchi katika maisha ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Hivyo, Katiba ya Kidemokrasia ni ile ambayo kuandikwa kwake kumetokana na ridhaa na mwafaka wa wananchi.