Kingsharon92 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 7,936 Reaction score 10,561 Jun 26, 2016 #2 Huyo atakuwa muha wa kigoma yaani mpaka kwenye treni lakini mzigo kichwani
Quarterpin JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 1,253 Reaction score 1,084 Jun 26, 2016 #3 Mkuu hapo sio ushamba tu, kama hiyo gar inatembea, (na inaonesha hivyo) huyo jamaa amerisk sana maisha yake, na hata anayempiga picha ameshindwa kumwambia. Labda iwe ni edit.
Mkuu hapo sio ushamba tu, kama hiyo gar inatembea, (na inaonesha hivyo) huyo jamaa amerisk sana maisha yake, na hata anayempiga picha ameshindwa kumwambia. Labda iwe ni edit.
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,578 Reaction score 28,701 Jun 26, 2016 #5 teh teh teh atakuwa ndugu yake Lizaboni huyu. Watu wa Songea ndio zao.
bushland JF-Expert Member Joined Mar 6, 2015 Posts 7,015 Reaction score 4,997 Jun 26, 2016 #6 Amavubi said: Click to expand... Yalllaaaaaaaahhhh
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 26, 2016 Thread starter #7 Kingsharon92 said: Huyo atakuwa muha wa kigoma yaani mpaka kwenye treni lakini mzigo kichwani Click to expand... duh umenifanya nicheke kwa sauti
Kingsharon92 said: Huyo atakuwa muha wa kigoma yaani mpaka kwenye treni lakini mzigo kichwani Click to expand... duh umenifanya nicheke kwa sauti
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 26, 2016 Thread starter #8 asigwa said: teh teh teh atakuwa ndugu yake Lizaboni huyu. Watu wa Songea ndio zao. Click to expand... wacha aje kisiasa
asigwa said: teh teh teh atakuwa ndugu yake Lizaboni huyu. Watu wa Songea ndio zao. Click to expand... wacha aje kisiasa
SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,270 Jun 27, 2016 #9 Usilogwe ukamdai nauli ya mzigo.Atakuambia ameubeba mwenyewe kichwani.
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 27, 2016 Thread starter #10 SHIEKA said: Usilogwe ukamdai nauli ya mzigo.Atakuambia ameubeba mwenyewe kichwani. Click to expand... Mkuu Shieka upo. ....NIMECHEKA ASUBUHI
SHIEKA said: Usilogwe ukamdai nauli ya mzigo.Atakuambia ameubeba mwenyewe kichwani. Click to expand... Mkuu Shieka upo. ....NIMECHEKA ASUBUHI
SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,270 Jun 27, 2016 #11 Amavubi said: Mkuu Shieka upo. ....NIMECHEKA ASUBUHI Click to expand... Nipo best angu!
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,975 Reaction score 75,064 Jun 27, 2016 #12 Mbona mnawaonea wasukama kiasi hiki jamani?
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,516 Jun 29, 2016 #13 Kaogopa vumbi la cement kuchafua begi lake.
Kingsharon92 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 7,936 Reaction score 10,561 Jun 29, 2016 #14 Hao ni waha ukitaka kuwaona subiria treni ya kigoma uwaone
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 35,801 Reaction score 86,573 Jun 29, 2016 #15 Sukari mali