Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,062
Habari wandugu
kwa niaba ya rafiki yangu naomba mchango
"Nina BF ambaye ameniletea posa home na kupangiwa mahali wikend iliyopita
kabla ya kupanga mahali home waliniuliza nikawatajia kiwango ambacho ni reasonable hata mpenzi wangu alikua anafiiria ingerange hapo,kumbe cjui home walinijoke walivyojibu barua wakafanya mara 2.5 ya ile waliyoniuliza .
sasa nikashindwa elewa wazazi wana mpango gani lakini pia ctaki waingilia ,mpenzi wangu anasema hawawez kua serias watakua hawajamkubali wameamua kumkataa kiaina nishaurini hivyo haelew kama kuna ndoa hapo na huo ni mwanzo tu je huko mbele itakuaje.
Naomba kuwasilisha
kwa niaba ya rafiki yangu naomba mchango
"Nina BF ambaye ameniletea posa home na kupangiwa mahali wikend iliyopita
kabla ya kupanga mahali home waliniuliza nikawatajia kiwango ambacho ni reasonable hata mpenzi wangu alikua anafiiria ingerange hapo,kumbe cjui home walinijoke walivyojibu barua wakafanya mara 2.5 ya ile waliyoniuliza .
sasa nikashindwa elewa wazazi wana mpango gani lakini pia ctaki waingilia ,mpenzi wangu anasema hawawez kua serias watakua hawajamkubali wameamua kumkataa kiaina nishaurini hivyo haelew kama kuna ndoa hapo na huo ni mwanzo tu je huko mbele itakuaje.
Naomba kuwasilisha