Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,489
- 34,793
Dodoma kuwa makao makuu ilitakiwa kazi ifanyike na itiliwe mkazo kwa ustadi toka awamu ya Kwanza ya utawala, kulazimisha sa hv Kuhamishia kila kitu kwenda Dodoma ni kuumiza rasilimali fedha ya nchi ambayo ipo strictly limited.
✓Dar esalaam ilikuwa imejitosheleza Kwa kila kitu , kuanzia majengo , miundo mbinu n.k unaanzaje kujenga upya sehemu nyingine tena na kitu kile kile , huku ukiwa na uhaba wa mambo mengi ya mhimu.
✓ Sababu nyingi zilizokuwepo za kuhamisha makao makuu toka DSM kwenda Dodoma now ni useless , Dunia sa hv ipo kwenye kiwango cha juu cha ustarabu hakuna purukushani za kivita , pia technolojia inakua Kwa Kasi Sana , no need ya mtu kutoka mbali kuja makao makuu kuhudumiwa , hata interview na maombi ya kazi now yanafanyika online.
✓Mawazo ya mkwere ya kutengeneza zones yalikuwa na maana Sana , zone hzi zingehudumia watu kuepuka ulazima kujazana makao makuu na Kwa kweli miji iliyobeba hadhi ya zone ilikua Kwa Kasi ya kuridhisha kipind cha mkwere e.g Mwanza, Arusha, Mbeya , Mtwara na hat Dodoma yenyewe.
Ninaungana na ndugu Mchungaji msigwa kuwa JPM hakuwa mtu sahihi kuvivaa viatu vya uraisi Kwa sasa , jamaa alikuwa mzalendo aliyepitwa na wakati , the guy was more outdated.
Mpango wake wa kuhamisha ofisi za kiserikali toka DSM kwenda Dodoma kumeathiri sana vitu vingi sana. Arusha imedorora Sana , mikutano yote ilizimwa kule , Mwanza nayo hamna kitu mji kama umesimama kabisa , Mbeya nayo , Mtwara ndo kabisa.
Dar es salaam imeathirika Kwa namna moja ama nyingine japo somehow mji umebaki strong because of its firm foundation Ila jamaa alikuwa anauvunja vunja kabisa mji.
Familia nyingi zimeathirika Sana , ndoa nyingi za wafanyakazi zimevunjika na watu walikuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo sababu ya kutenganishwa Kwa lazima.
Nini kimetokea sasa , Jiwe amekufa huku mji wa Dodoma ukiwa bado haujakamilika na bado unahtaji multibillion USdollar kukamilika. At the same time DSM ina kila kitu kinachohtajika , kiukwel mama Samia yupo kwenye sintofahamu Sana namna ya kufanya resources allocation.
Nini kifanyike , kwa maoni yangu , ofisi zilizopo tayari ziendelee kufanya kazi Dodoma , na ambazo hazipo tayar zibakie DSM, na pia zones ziendelee kupewa nguvu kama mwanzo ili kuboost uchumi wa kikanda ambao ulikuwa kama umekufa kabisa.....
✓Dar esalaam ilikuwa imejitosheleza Kwa kila kitu , kuanzia majengo , miundo mbinu n.k unaanzaje kujenga upya sehemu nyingine tena na kitu kile kile , huku ukiwa na uhaba wa mambo mengi ya mhimu.
✓ Sababu nyingi zilizokuwepo za kuhamisha makao makuu toka DSM kwenda Dodoma now ni useless , Dunia sa hv ipo kwenye kiwango cha juu cha ustarabu hakuna purukushani za kivita , pia technolojia inakua Kwa Kasi Sana , no need ya mtu kutoka mbali kuja makao makuu kuhudumiwa , hata interview na maombi ya kazi now yanafanyika online.
✓Mawazo ya mkwere ya kutengeneza zones yalikuwa na maana Sana , zone hzi zingehudumia watu kuepuka ulazima kujazana makao makuu na Kwa kweli miji iliyobeba hadhi ya zone ilikua Kwa Kasi ya kuridhisha kipind cha mkwere e.g Mwanza, Arusha, Mbeya , Mtwara na hat Dodoma yenyewe.
Ninaungana na ndugu Mchungaji msigwa kuwa JPM hakuwa mtu sahihi kuvivaa viatu vya uraisi Kwa sasa , jamaa alikuwa mzalendo aliyepitwa na wakati , the guy was more outdated.
Mpango wake wa kuhamisha ofisi za kiserikali toka DSM kwenda Dodoma kumeathiri sana vitu vingi sana. Arusha imedorora Sana , mikutano yote ilizimwa kule , Mwanza nayo hamna kitu mji kama umesimama kabisa , Mbeya nayo , Mtwara ndo kabisa.
Dar es salaam imeathirika Kwa namna moja ama nyingine japo somehow mji umebaki strong because of its firm foundation Ila jamaa alikuwa anauvunja vunja kabisa mji.
Familia nyingi zimeathirika Sana , ndoa nyingi za wafanyakazi zimevunjika na watu walikuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo sababu ya kutenganishwa Kwa lazima.
Nini kimetokea sasa , Jiwe amekufa huku mji wa Dodoma ukiwa bado haujakamilika na bado unahtaji multibillion USdollar kukamilika. At the same time DSM ina kila kitu kinachohtajika , kiukwel mama Samia yupo kwenye sintofahamu Sana namna ya kufanya resources allocation.
Nini kifanyike , kwa maoni yangu , ofisi zilizopo tayari ziendelee kufanya kazi Dodoma , na ambazo hazipo tayar zibakie DSM, na pia zones ziendelee kupewa nguvu kama mwanzo ili kuboost uchumi wa kikanda ambao ulikuwa kama umekufa kabisa.....