Unajiona unashida na unahisi umesahaulika sio? Bado hujaishi wewe,ayo mambo ya kufukuzwa,kukosa kazi,kushinda njaa ni rasharasha tu,tupo wengi tunaopitia makuu kuliko wewe...Ukiona HUWEZI kabisa,jiue mwenyewe kuliko kuuwa wengine wasio na hatia ili ww uishi vizuri...
Nikwambie tu nimeshafukuzwa mara kibao kwny kupanga,nimeshalala njaa up to 5 clean days,kutukanwa na kudhalauliwa hayo ndo maisha yangu mpk sasa.Na vyeti ninavyi ila havijawai kunisaidia.
Why worrying,we all gonna die someday,ishi vile inavotakiwa kuishi mana ulikuja peke yako humu duniani na hukuomba kuja ila imetokea tu upo duniani km binadam na sio km ndege,chui,mmea etc.