Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,539
- 7,985
Duniani huku ukiwa masikini ni mateso tu, na kudharauliwa, lakini siamini ya kwamba tumeletwa duniani kuteseka au kudharauliwa sababu ya kutokuwa na pesa.
Sina kazi, nimefukuzwa nyumba ya kupanga, nalazimika kuomba hela ya vocha ili nije kupaza sauti yangu huku kwenye mitandao ya kijamii kama huu, pengine ntapata usaidizi. Sitakubali kunyanyasika hivi, hivyo basi wadau.
Kama kuna yeyote atakuja kuniunganisha na mtaalam wa ndagu za utajiri nitamshukuru sana, nimedhamiria na nipo tayari. Haya maamuzi hayajaja leo bali ni ya muda sasa, hadi kusema hivi ni maji yamefikia shingoni.
______________
Update
Sina kazi, nimefukuzwa nyumba ya kupanga, nalazimika kuomba hela ya vocha ili nije kupaza sauti yangu huku kwenye mitandao ya kijamii kama huu, pengine ntapata usaidizi. Sitakubali kunyanyasika hivi, hivyo basi wadau.
Kama kuna yeyote atakuja kuniunganisha na mtaalam wa ndagu za utajiri nitamshukuru sana, nimedhamiria na nipo tayari. Haya maamuzi hayajaja leo bali ni ya muda sasa, hadi kusema hivi ni maji yamefikia shingoni.
______________
Update
Wakuu kama thread yangu ya awali badi natafuta mtaalamu wa ndagu za utajiri.
Kama kuna yeyote atakuja kuniunganisha na mtaalam wa ndagu za utajiri nitamshukuru sana, nimedhamiria na nipo tayari.
Haya maamuzi hayajaja leo bali ni ya muda sasa, hadi kusema hivi ni maji yamefikia shingoni