Maamuzi magumu

Kunguru wa Manzese

JF-Expert Member
Apr 20, 2016
12,709
18,059
1-huna uhakika na kula na una elfu moja pekee ulionayo unaamua kunywa viroba. 2-huna kitanda na unaamua kuoa hayo pia ni maamuzi magumu. 3-huna uwezo wa kumlisha mkeo na unampa ujauzito ni maamuzi magumu. 4-shule haina walimu unampeleka mwanao pia ni maamuzi magumu. 5-daladala imejaa mpaka mlangoni na unaamua kupanda ni maamuzi magumu. 6-unalipwa laki 2 unamuhonga binti laki moja hayo ni maamuzi magumu. 7-kama utasoma hapa na ukashindwa kuandika maamuzi magumu unayoyajua utakuwa una maamuzi magumu mno
 
1-huna uhakika na kula na una elfu moja pekee ulionayo unaamua kunywa viroba. 2-huna kitanda na unaamua kuoa hayo pia ni maamuzi magumu. 3-huna uwezo wa kumlisha mkeo na unampa ujauzito ni maamuzi magumu. 4-shule haina walimu unampeleka mwanao pia ni maamuzi magumu. 5-daladala imejaa mpaka mlangoni na unaamua kupanda ni maamuzi magumu. 6-unalipwa laki 2 unamuhonga binti laki moja hayo ni maamuzi magumu. 7-kama utasoma hapa na ukashindwa kuandika maamuzi magumu unayoyajua utakuwa una maamuzi magumu mno



2 day is weed day my be umekamua kitu.

swissme
 
1-huna uhakika na kula na una elfu moja pekee ulionayo unaamua kunywa viroba. 2-huna kitanda na unaamua kuoa hayo pia ni maamuzi magumu. 3-huna uwezo wa kumlisha mkeo na unampa ujauzito ni maamuzi magumu. 4-shule haina walimu unampeleka mwanao pia ni maamuzi magumu. 5-daladala imejaa mpaka mlangoni na unaamua kupanda ni maamuzi magumu. 6-unalipwa laki 2 unamuhonga binti laki moja hayo ni maamuzi magumu. 7-kama utasoma hapa na ukashindwa kuandika maamuzi magumu unayoyajua utakuwa una maamuzi magumu mno
Kupost huu uzi MMU wakati unatakiwa ukae Chit Chat ni maamuzi magumu mno
 
kuna watu wasipo ongea kejeli au kupinga mada kwao ni maamuzi magumu...kumtukana MTU napo nimaamuzi magumu...bora nikae kimya dah! pia ni maamuzi magumu..
 
Na wote mnaocomment mkiishia na "maamuzi magumu"huko ni kumpa bichwa mtoa mada wakati kafanya maamuzi magumu kuandika pumba hii
 
Kujifunza kuandika pia n maamuz,magumu sana tena sana

Kukosa kuingia jf kwa 45 menit ni maamuz magumu zaid
 
Kumwambia Miss Neddy unampenda huku unajua avatar si yake nayo maamuzi magumu pia. Bora umshauri atembelee Makapuku Forum maana wingi wa post zake hauendani Na likes Na Trophy points lakini bado anapost nayo maamuzi magumu haswaa
 
Back
Top Bottom