Maambukizi VVU imekuwa janga, hatua kali zichukuliwe. Watu 163,131 wamekutwa na HIV mwaka 2023

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
2,018
3,929
Kwa takwimu za mwisho maambukizi mapya ni watu 163k (2023)

Mwaka wa nyuma yake yalikuwa watu 182k (2022)

Mwaka juzi 198k (2021)

Maana yake kila mwaka kuna zaidi ya maambukizi mapya 150k. Inaweza kuonekana ni idadi ndogo lakini kiuhalisia sio ndogo hata kidogo.

Janga hili kwa kiasi kikubwa limefumbiwa macho kwa mwamvuli wa kuwepo kwa dawa ambazo kiukweli ni za mtu mweupe (ufadhili).

Je tumeshafikiria kama itafika siku ufadhili ukakosekana au ukawa wa masharti magumu hali itakuwaje?

Hatuoni hii hatari ya taifa zima kudondoka ndani ya mwezi mmoja?

Maambukizi haya ni makubwa kuna haja ya hatua zaidi kuchukuliwa na hata ikibidi ishu ya upimaji na matumizi ya dawa za kufubaza iwe ni LAZIMA.
View attachment 2989046
 
Kwa takwimu za mwisho maambukizi mapya ni watu 163k (2023)

Mwaka wa nyuma yake yalikuwa watu 182k (2022)

Mwaka juzi 198k (2021)

Maana yake kila mwaka kuna zaidi ya maambukizi mapya 150k. Inaweza kuonekana ni idadi ndogo lakini kiuhalisia sio ndogo hata kidogo.

Janga hili kwa kiasi kikubwa limefumbiwa macho kwa mwamvuli wa kuwepo kwa dawa ambazo kiukweli ni za mtu mweupe (ufadhili).

Je tumeshafikiria kama itafika siku ufadhili ukakosekana au ukawa wa masharti magumu hali itakuwaje?

Hatuoni hii hatari ya taifa zima kudondoka ndani ya mwezi mmoja?

Maambukizi haya ni makubwa kuna haja ya hatua zaidi kuchukuliwa na hata ikibidi ishu ya upimaji na matumizi ya dawa za kufubaza iwe ni LAZIMA.
View attachment 2989046
Kuna rafiki yangu mmoja nae mwaka huuu mwanzoni kaukwaa afu kajikausha kimyA

Wakati nyumbani kwake nilizoeana arvs na mimi najifanya sijui nimekaaa kimyaa

Ila kiukweli hali imeanza kuwa mbaya watoto wa 2000 hawana elimu ya kutosha kama watu 90s and 80s kwenye swala la ugonjwa

Watu wengi hawapima wala kutumia kinga wanaenda kavu kavu
 
Kuna rafiki yangu mmoja nae mwaka huuu mwanzoni kaukwaa afu kajikausha kimyA

Wakati nyumbani kwake nilizoeana arvs na mimi najifanya sijui nimekaaa kimyaa

Ila kiukweli hali imeanza kuwa mbaya watoto wa 2000 hawana elimu ya kutosha kama watu 90s and 80s kwenye swala la ugonjwa

Watu wengi hawapima wala kutumia kinga wanaenda kavu kavu
Yaah hii nk kweli kabisa.
Elimu juu ya ugonjwa huu imepungua kasi mno miaka ya karibuni.

Bila shaka watoto wengi under 10yrs hawajui hata kama kuna kitu inaitwa Ukimwi tofauti na miaka ya nyuma.
 
Wazee wa kupiga deki kwa ulimi kisha ndio wanavaa condom wakati wa tendo hawatakuelewa.
Kwa takwimu za mwisho maambukizi mapya ni watu 163k (2023)

Mwaka wa nyuma yake yalikuwa watu 182k (2022)

Mwaka juzi 198k (2021)

Maana yake kila mwaka kuna zaidi ya maambukizi mapya 150k. Inaweza kuonekana ni idadi ndogo lakini kiuhalisia sio ndogo hata kidogo.

Janga hili kwa kiasi kikubwa limefumbiwa macho kwa mwamvuli wa kuwepo kwa dawa ambazo kiukweli ni za mtu mweupe (ufadhili).

Je tumeshafikiria kama itafika siku ufadhili ukakosekana au ukawa wa masharti magumu hali itakuwaje?

Hatuoni hii hatari ya taifa zima kudondoka ndani ya mwezi mmoja?

Maambukizi haya ni makubwa kuna haja ya hatua zaidi kuchukuliwa na hata ikibidi ishu ya upimaji na matumizi ya dawa za kufubaza iwe ni LAZIMA.
View attachment 2989046
 
safi sana, mtameza njugu mpaka mtie akili
Kwa hii comment yako inaonekana huna elimu kabisa ya kuhusiana na HIV.
Wewe unadhani janga la ukimwi linachagua aina fulani ya watu au lina watu maalumu?
Hilo janga unaweza hata kusababishiwa na mke wako unayemuamini kwa asilimia zote,usidhani wote waliopata hilo janga walikuwa wazembe.
 
Kwa hii comment yako inaonekana huna elimu kabisa ya kuhusiana na HIV.
Wewe unadhani janga la ukimwi linachagua aina fulani ya watu au lina watu maalumu?
Hilo janga unaweza hata kusababishiwa na mke wako unayemuamini kwa asilimia zote,usidhani wote waliopata hilo janga walikuwa wazembe.
ugonjwa unaopata kwa njia ya ngono, ni ugonjwa wa fedheha, mzinzi ni mpumbavu
usitetee ujinga, mtameza sana njugu hizo

PS: Sina Mke
 
Back
Top Bottom