Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,655
Nipo dear, vipi nikufanyie mpango wa kumpata huyo Nleterewa Nganengo 😉
Nipo dear, vipi nikufanyie mpango wa kumpata huyo Nleterewa Nganengo 😉
Aisee, kweli uzee unakuja na mengi, wewe ulichonipa umesahau ulikua ugoro?Inamaana vumbi la kongo nililokupa halikufaa kitu? Au unataka kumpotezea tu mtoto Inna![]()
Alaa kumbe! Basi, jioni hii ngoja nikuletee 'vumbi orijinali' ila usichepuke tuAisee, kweli uzee unakuja na mengi, wewe ulichonipa umesahau ulikua ugoro?

Hahaha we ajuza una mambo sana, unanipaje jembe alafu unaniambia nisilitumie kulima?Alaa kumbe! Basi, jioni hii ngoja nikuletee 'vumbi orijinali' ila usichepuke tu![]()
Unaruhusiwa kulima, ila kwenye shamba lako halali tuHahaha we ajuza una mambo sana, unanipaje jembe alafu unaniambia nisilitumie kulima?
Ndio ndioNipo dear, vipi nikufanyie mpango wa kumpata huyo Nleterewa Nganengo 😉
Hesabu ushampata, niandalie tu ujira wangu!Ndio ndio
😂😂😂😂uwe hvyo hvyo twafadhali usibadilike ...wew ni tunu inayotafutwa na wanawake wengiHahaha ujue niliandika nikiwa na hangover, saivi ndo akili zimekaa sawa nimesoma hiyo komenti nimeshangaa sana.
Saivi niko misitu ya Congo natafuta dawa mpya za nguvu za kiume, nikirudi ntakushtua.
HahahaaaaAisee, kweli uzee unakuja na mengi, wewe ulichonipa umesahau ulikua ugoro?
Ujira kiasi gan bibieHesabu ushampata, niandalie tu ujira wangu!
Mia tisa itapendeza!Ujira kiasi gan bibie
Me ntakua mia 10 itafaa zaidMia tisa itapendeza!
Akikuelewa katoe shukrani madhabahuni!😂😂😂😂uwe hvyo hvyo twafadhali usibadilike ...wew ni tunu inayotafutwa na wanawake wengi
👍🏻👍🏻👍🏻🤝🏻Me ntakua mia 10 itafaa zaid