guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,255
- 2,073
Naomba kusisitiza hapa:
Huu uzi ni kwa ajaili ya wanaume waliooa tu (kwa ndoa ya kimila, serikali, kidini au ya mkeka au unaishi na mke hata kwa mkataba).
Hivi nyie jamaa mnawezaje kusihi bila kuchepuka?
Mimi kati ya mambo yaliyo nishinda ni hili. Kuna kipindi niliapa kutulia nisiwe hata na mchepuko. Nikafuta mamba zao nikawablock wote. Hii ilienda kama wiki moja nikahisi kuumwa kabisa. Nikajitahidi kwenda jimu kupotezea mawazo ila haikufua dafu. Hata kazi zikawa zinalegea sometimes. Nilichofanya nika unblock michepuko yangu 2 nikaongea nayo na nikadanganya vya kudanganya.
Leo jumatatu ila ninashow mbili tofauti, hawa wote ni wale wanawake wenye maisha yao kamili sio wadangaji. Kila mmoja anatuma text hapa unakuja saa ngapi nikuandalie chakula kisipoe.
Sasa nauliza hivi nyie jamaa ambao mko loyal kwa wake zenu kiasi hata lapite demu mkali hamhisi mtikisiko wowote mnatumia dawa gani?
>Tuelimishane.
Huu uzi ni kwa ajaili ya wanaume waliooa tu (kwa ndoa ya kimila, serikali, kidini au ya mkeka au unaishi na mke hata kwa mkataba).
Hivi nyie jamaa mnawezaje kusihi bila kuchepuka?
Mimi kati ya mambo yaliyo nishinda ni hili. Kuna kipindi niliapa kutulia nisiwe hata na mchepuko. Nikafuta mamba zao nikawablock wote. Hii ilienda kama wiki moja nikahisi kuumwa kabisa. Nikajitahidi kwenda jimu kupotezea mawazo ila haikufua dafu. Hata kazi zikawa zinalegea sometimes. Nilichofanya nika unblock michepuko yangu 2 nikaongea nayo na nikadanganya vya kudanganya.
Leo jumatatu ila ninashow mbili tofauti, hawa wote ni wale wanawake wenye maisha yao kamili sio wadangaji. Kila mmoja anatuma text hapa unakuja saa ngapi nikuandalie chakula kisipoe.
Sasa nauliza hivi nyie jamaa ambao mko loyal kwa wake zenu kiasi hata lapite demu mkali hamhisi mtikisiko wowote mnatumia dawa gani?
>Tuelimishane.