Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

Wapendwa naombeni kujuzwa nauli ya kutoka Dar Mpaka Morogoro na pia kutoka Morogoro mpaka Ifakara. Namaanisha nauli ya basi, basi la kawaida
 
Nahitaji kwenda mtwara npo mbeya kama kuna njia ambayo sio ya kupitia dar mwenye kujua naomba anijulishe japo safar yangu ni mwezi ujao mwishoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua gari hadi Songea(Songea hadi Makambako-180km,Makambako-Njombe 60km,kisha Njombe to Songea kama 230km,Hapo utakua umetembea kama 460km ambao ni umbali wa Dar to Dodoma au Lindi. Kisha kesho yake Chukua gari la Songea kwenda Mtwara(ambapo ni Namtumbo,Tunduru hadi Masasi ni kama 430km) na kutoka Masasi hadi Mtwara ni kilometa 201 hivi.
Hivyo MbeyA Songea-460+km,Songea Mtwara kama 640±km, Jumla ni kama 1100km ambao ni karibu umbali wa Dar to Mwanza na au Dar to Tunduma(Ikiwa jirani kidogo)

Ama kwa plan B ya kupitia Dar ndiyo route ndefu zaidi. Kwa maana Mbeya-Dar ni kilometa 890(soma 900) na Dar Mtwara ni 560±km,hapo tayari ni kilometa kama 1400±kilometa. Ni parefu.
Bahati nzuri route ya Mtwara to Songea ina magari almost manne kila siku kwa ujumla. Kuna linaloanza saa12 na la saa4 asubuhi kwa kila upande. Ukipanda la Saa4 unafika Songea au Mtwara saa2 usiku.
Hivyo naona kabisa inawezekana route ya Mbeya to Mtwara ikaanzishwa na gari likafika saa3 usiku.
Kwa sababu gari likitoka Mtwara linafika Songea saa9 jioni,na kwa vyovyote,likitoka pale Songea linaweza kuingia Makambako saa12 jion au saa1 usiku,na pale Makambako to Mbeya ni masaa mawili tu. So kama kuna wamiliki wa mabasi wanaweza kuanzisha route hii abiria wapo wengi sana,na hapo lengo la Mtwara Corridor litatimia rasmi.
 
Chukua gari hadi Songea(Songea hadi Makambako-180km,Makambako-Njombe 60km,kisha Njombe to Songea kama 230km,Hapo utakua umetembea kama 460km ambao ni umbali wa Dar to Dodoma au Lindi. Kisha kesho yake Chukua gari la Songea kwenda Mtwara(ambapo ni Namtumbo,Tunduru hadi Masasi ni kama 430km) na kutoka Masasi hadi Mtwara ni kilometa 201 hivi.
Hivyo MbeyA Songea-460+km,Songea Mtwara kama 640±km, Jumla ni kama 1100km ambao ni karibu umbali wa Dar to Mwanza na au Dar to Tunduma(Ikiwa jirani kidogo)

Ama kwa plan B ya kupitia Dar ndiyo route ndefu zaidi. Kwa maana Mbeya-Dar ni kilometa 890(soma 900) na Dar Mtwara ni 560±km,hapo tayari ni kilometa kama 1400±kilometa. Ni parefu.
Bahati nzuri route ya Mtwara to Songea ina magari almost manne kila siku kwa ujumla. Kuna linaloanza saa12 na la saa4 asubuhi kwa kila upande. Ukipanda la Saa4 unafika Songea au Mtwara saa2 usiku.
Hivyo naona kabisa inawezekana route ya Mbeya to Mtwara ikaanzishwa na gari likafika saa3 usiku.
Kwa sababu gari likitoka Mtwara linafika Songea saa9 jioni,na kwa vyovyote,likitoka pale Songea linaweza kuingia Makambako saa12 jion au saa1 usiku,na pale Makambako to Mbeya ni masaa mawili tu. So kama kuna wamiliki wa mabasi wanaweza kuanzisha route hii abiria wapo wengi sana,na hapo lengo la Mtwara Corridor litatimia rasmi.
hahaaha mkuu kula tano
 
Habari za asubuhi

Kwa wale wenye uzoefu na njia ya Dar to Mwanza naomba kujulishwa ni basi gani zuri nikiwa na maana ya huduma nzuri na lipo on time (halinyati).

Kesho nina safari ya kwenda Mwanza kikazi hivyo naomba msaada wa kujulishwa kuhusu swali langu hapo juu

Asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom