Pole mkuuy kweli ulilikoroga na umelinywaLeo nimelikoroga ...
Nimepanda gari la Arusha one coach kwa 35000...
Service zao mbaya! No Air conditioning...
Yaani hii safari imeniboa balaa..! Though niko moshi now
Panda tilisho ama estar mkuuu ukifka usser wasalimie sanaNaenda rombo tarakea siku ya ijumaa 29 July nahitaji kujua bei ya nauli ya basi daraja la kati
Ahsante
Upitie hapa tao mkuu uhuru park nkusabah maana watz hatuna ukabila km wakenyaJamani mimi naomba kueleweshwa usafiri mzuri kutoka moshi Kilimanjaro mapaka kigoma.
Pia nauli mnieleweshe wakuu maana nipo huku Kenya maeneo ya nakuru. Hivyo keshokutwa nitafika moshi kwaajili ya kwenda kigoma
Aiseeee cjui kwann mnakwepa hii border ya loitokto tarakea rombo na imagine ndo naona ikiwa karbuIpo ya arusha holili mombasa
New forceAnayefahamu basi zuri la Mbeya to Dar
Ndenjela au Rungwe expressAnayefahamu basi zuri la Mbeya to Dar
gari kukimbia sana sio kipimo cha ubora wa busMkuuuu falcom kwa heshima yako tutolee haya nabas kwny list hatuwez kulala njian sku nzima kwa hiz mkokoten
Prinses muro
Metro
Saibaba
osaka
Af uliyasahau haya kwny list
Dar lux
Meridian
Tilisho
Estar
Longela
Wakat
Kuna bus za nauli ya chini ya buku 40 za Mbeya to Dar unazozifahamu na huduma yake vipi?gari kukimbia sana sio kipimo cha ubora wa bus
Mkuuuu falcom kwa heshima yako tutolee haya nabas kwny list hatuwez kulala njian sku nzima kwa hiz mkokoten
Prinses muro
Metro
Saibaba
osaka
Af uliyasahau haya kwny list
Dar lux
Meridian
Tilisho
Estar
Longela
Wakat
Grecious iko good nimepanda juziMbeya _ arusha kupitia dodoma, ipi gari nzuri kati ya Kiazi kitamu na gresious.