Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,545
- 63,023
Next time langu hilo33000 tu
Next time langu hilo33000 tu
pole sana mkuuLeo nimelikoroga ...
Nimepanda gari la Arusha one coach kwa 35000...
Service zao mbaya! No Air conditioning...
Yaani hii safari imeniboa balaa..! Though niko moshi now
hapanaNew Force zina AC?
ongeza elfu tatu upande tahmeedNasafiri Jumanne kwenda Arusha,Nina elfu 30,gari lipi nitapata la saa 12 kamili asubuhi
Duuuh....! hiii kaliKama kusubiriana kupo huenda hakuna sababu ya kuweka muda wa safari.
Ni mtazamo!!!
ziko nyingi ikiwemo asante rabiGari gani zuri arusha to mwanza na ni sh ngap
pole sana mkuu, hukubahatika kupata Tahmeed Coach?? nadhani usingejutiaKama nlivyowajuza jana,Leo nimepanda lim T 734 dfx ovyo kabisa,nauli 32800/- semi luxury from Dar -Arusha lakini sasa hawawashi AC,konda hana customer care kabisa,wanagawa soda za chupa karne hii kweli?shame,no value for money at all!
Mi nahamia yale nloyazoea
mkuu usiku huu narudi narudi dar, hali ni tete bus pendwa iko full bookedpole sana mkuu, hukubahatika kupata Tahmeed Coach?? nadhani usingejutia
Dar Lindi songea basi gani Na nauli yake ipojekwa abiria wa dar songea kutakuwa na ruti mpya hivi karibuni kupitia DAR LINDI SONGEA
pia wasafiri wa shinyanga kutakuwa na ruti ya Tanga Babati Shinyanga na bus la mohamed trans
KidiniloCurrently, Mtwara Songea kuna basi gani na nauli ni bei gani?
Dar Kilosa ni basi gani zuri?
Dar Kilosa ni Kidinilo
Zipo mtaa wa swahili karibu na msimbaKariakoo