Maalum kwa akina dada tu

Maalum kwa akina dada tu

I wish hizo zawadi zingekuwa zinakuja kwangu.....
Hivi umesema ni mchumba au girlfriend tu......!!!
Mchagulie zawadi inayoendana na interest zake mwaya.......
 
Nakwepa kununiwa!!! Si wajua wengine tuna nyota ya simba...wat we want its wat we get..no matter wat!!!so sometimes its better not to contest to make things easier 4others!!1
sio vizuri kujivua gamba bhana.
 
Mkuu Bondpost, acha niwaachie uwanja wao. Ciello ni rafiki yangu ila kwenye hili kanigeuka.
Kawa mkali hataki hata kuniona....nimeogopa kumuuliza zaidi kwani majibu yangekuwa"hii ni kitchen Party" haikuhusu.

Mwenzaaaaaaaangu!
 
Back
Top Bottom