Maalimu Seif Wazanzibar tulikuamini, umetuangushaa-

Maalimu Seif Wazanzibar tulikuamini, umetuangushaa-

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,316
Reaction score
23,178
Maalim Seif katibu mkuu wa CUF, na mshindi wa urais Zanzibar hatuna imani nawe.
Wazanzibar tumekuamini na kuwa na wewe bega kwa bega lakini leo hii umetuacha, umetudharau, wazanzibar hawana maana tena kwako.

Seif ni wewe ambaye kwa kipindi kirefu umetuaminisha tukuunge mkono, umetuaminisha kuwa utakuwa mkombozi wetu, nasi bila ajizi tukaamini hivyo, tukawa begamoja nawe, tukakupa imani, tukakuunga mkono kwa kila Jambo lakini leo yote umesahau, umetukimbiaa.

Kwa miaka mingi tumekuunga mkono, umekuwa ukishinda kila chaguzi, uchaguzi uliopita ulituapia hutokubali kuchakachuliwa, ukasema safari hii utatuachia tufanye maamuzi wenyewe lakini umekuwa sivyo.

Seif mpaka sasa hujasema lolote kuhusu zanzibar yetu, umejificha na ccm, umekubali ulaghai wa ccm, umetuacha solemba wana wako.

Hakika dhambi hii popote utakappkwenda itakutafuna.

Ulitupa matumaini kwamba vikao vyenu vitaamua na kufanya maamuzi sahihi, maamuzi ambayo ww utakuwa rais wa zanzibar, lakini kila siku ni danadana na sarakasi nyingi, hakika seif umetuuza wana wako, umekimbia mitini, umesaliti harakati za kuikomboa Zanzibar yetu.

Zanzibar itapata mkombozi mwingine lakini sio wewe seif.

Seif wewe ni MSALITI.
 
Wewe kijana wa lumumba umeamua kutunga hekaya...sisi ukawa tunaujua msimamo wa simba wa zanziber..nyie lumumba tulieni dawa iwaingie
 
Wewe unayefanya conclusion na kumwita Maalim Seif msaliti, hebu tukuulize swali moja jepesi, hivi hiyo kamati inayojadiliana kuhusu mkwamo huo wa kisiasa huko Zanzibar, ishamaliza vikao vyao na kujitokeza hadharani na kueleza makubaliano waliyofikia?
Inaonekana wewe unaamini hayo yanayosemwa na 'wapiga debe' wa CCM kuwa uchaguzi utarejewa mwezi February bila kutaja tarehe wala Tume ipi iyakayosimamia uchaguzi huo.
Fahamu kuwa CCM wana mbinu nyingi sana, mojawapo ya mbinu zao ni hii wanayotumia hivi sasa za kutaka kuliaminisha Taifa kuwa kuna uchaguzi wa marudio, wakati hata wao wenyewe wanajua kuwa jambo hilo halina uwezekano kabisa wa kufanyika kwa mazingira ya kisiasa yaliyopo huko visiwani.
Kwa hiyo wanachofanya ni moja ya hizo technicalities za kutaka kuwa-provoke wanaCUF/Ukawa ili wa-react ili wapatie sababu ya kuhalalisha utawala wao hadi mwaka 2020 kwa kisingizio cha hali ya usalama kutoruhusu kuweza kufanyika uchaguzi wa marudio.
 
Maalim Seif katibu mkuu wa CUF, na mshindi wa urais Zanzibar hatuna imani nawe.
Wazanzibar tumekuamini na kuwa na wewe bega kwa bega lakini leo hii umetuacha, umetudharau, wazanzibar hawana maana tena kwako.

Seif ni wewe ambaye kwa kipindi kirefu umetuaminisha tukuunge mkono, umetuaminisha kuwa utakuwa mkombozi wetu, nasi bila ajizi tukaamini hivyo, tukawa begamoja nawe, tukakupa imani, tukakuunga mkono kwa kila Jambo lakini leo yote umesahau, umetukimbiaa.

Kwa miaka mingi tumekuunga mkono, umekuwa ukishinda kila chaguzi, uchaguzi uliopita ulituapia hutokubali kuchakachuliwa, ukasema safari hii utatuachia tufanye maamuzi wenyewe lakini umekuwa sivyo.

Seif mpaka sasa hujasema lolote kuhusu zanzibar yetu, umejificha na ccm, umekubali ulaghai wa ccm, umetuacha solemba wana wako.

Hakika dhambi hii popote utakappkwenda itakutafuna.

Ulitupa matumaini kwamba vikao vyenu vitaamua na kufanya maamuzi sahihi, maamuzi ambayo ww utakuwa rais wa zanzibar, lakini kila siku ni danadana na sarakasi nyingi, hakika seif umetuuza wana wako, umekimbia mitini, umesaliti harakati za kuikomboa Zanzibar yetu.

Zanzibar itapata mkombozi mwingine lakini sio wewe seif.

Seif wewe ni MSALITI.
Kwani NINYI MNAFIKIRI Mnawza kufanya nini zaidi ya MAANDAMANO TUUUUUUUUUUUUUUU NA KUINGIA MIGOGORO NA JESHI LA POLISI????????????CCM Itatawala hii nchi MIAKA 90000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
 
Maalim Seif katibu mkuu wa CUF, na mshindi wa urais Zanzibar hatuna imani nawe.
Wazanzibar tumekuamini na kuwa na wewe bega kwa bega lakini leo hii umetuacha, umetudharau, wazanzibar hawana maana tena kwako.

Seif ni wewe ambaye kwa kipindi kirefu umetuaminisha tukuunge mkono, umetuaminisha kuwa utakuwa mkombozi wetu, nasi bila ajizi tukaamini hivyo, tukawa begamoja nawe, tukakupa imani, tukakuunga mkono kwa kila Jambo lakini leo yote umesahau, umetukimbiaa.

Kwa miaka mingi tumekuunga mkono, umekuwa ukishinda kila chaguzi, uchaguzi uliopita ulituapia hutokubali kuchakachuliwa, ukasema safari hii utatuachia tufanye maamuzi wenyewe lakini umekuwa sivyo.

Seif mpaka sasa hujasema lolote kuhusu zanzibar yetu, umejificha na ccm, umekubali ulaghai wa ccm, umetuacha solemba wana wako.

Hakika dhambi hii popote utakappkwenda itakutafuna.

Ulitupa matumaini kwamba vikao vyenu vitaamua na kufanya maamuzi sahihi, maamuzi ambayo ww utakuwa rais wa zanzibar, lakini kila siku ni danadana na sarakasi nyingi, hakika seif umetuuza wana wako, umekimbia mitini, umesaliti harakati za kuikomboa Zanzibar yetu
Zanzibar itapata mkombozi mwingine lakini sio wewe seif.

Seif wewe ni MSALITI.




IBILISI =SHETANI...so wewe ni SHETANI?😀
 
Hakika seifu amewasaliti na hakuna njia nyingine kwani imefikia mzawa mwenyewe kawageuka hamna budi kukubali tamko litakalotolewa na tume
 
Wewe unayefanya conclusion na kumwita Maalim Seif msaliti, hebu tukuulize swali moja jepesi, hivi hiyo kamati inayojadiliana kuhusu mkwamo huo wa kisiasa huko Zanzibar, ishamaliza vikao vyao na kujitokeza hadharani na kueleza makubaliano waliyofikia?
Inaonekana wewe unaamini hayo yanayosemwa na 'wapiga debe' wa CCM kuwa uchaguzi utarejewa mwezi February bila kutaja tarehe wala Tume ipi iyakayosimamia uchaguzi huo.
Fahamu kuwa CCM wana mbinu nyingi sana, mojawapo ya mbinu zao ni hii wanayotumia hivi sasa za kutaka kuliaminisha Taifa kuwa kuna uchaguzi wa marudio, wakati hata wao wenyewe wanajua kuwa jambo hilo halina uwezekano kabisa wa kufanyika kwa mazingira ya kisiasa yaliyopo huko visiwani.
Kwa hiyo wanachofanya ni moja ya hizo technicalities za kutaka kuwa-provoke wanaCUF/Ukawa ili wa-react ili wapatie sababu ya kuhalalisha utawala wao hadi mwaka 2020 kwa kisingizio cha hali ya usalama kutoruhusu kuweza kufanyika uchaguzi wa marudio.

Wewe ndiye wa kushukuriwa umezielewa mbinu za ccm kutaka kuleta hali itakayoonekana Zanzibar kwa wakati uliopo uchaguzi hauwezakani wakishaeneza sumu yao ya machafuko kwa kutumia hawa vipepe wao. Nami niwaombe Wazanzibari wa kweli na haswa wana cuf wawaepuke haya mandege joni yanayoleta uchochezi kwa wananchi na watulie hadi watakaposikia kauli ya maalim Seiff na Ukawa kutoa maelezo yao ya mwisho kufuatana na mwenendo wa mazungumzo yanayoendelea miongoni mwa viongozi wakuu. Mkiendekeza upuuzi wa hawa wachochezi mkiamini ni wenzenu yakitokea machafuko hamtaweza kuyatuliza na nchi itaharibika kwa siku moja tu na umwagaji damu mkubwa sana. KUJENGA NI NGUMU ILA KUVUNJA NI RAHISI. Angalieni mifano kwa wenzenu yalianza kidogo kidogo mwisho nchi zao zikaharibiwa na mauaji makubwa ya raia nyie mtakimbilia wapi? Msisahau hadi leo bado wapo wakimbizi wazanzibari huko Somalia. Mtawaliwe na busara zaidi na muweke imani kwa viongozi wenu na kuzidisha dua.
 
Back
Top Bottom