Maalim Seif tulikuambia achana na Lowassa, hukusikia!

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,975
Kama CUF Zanzibar mlidhani CHADEMA ya Lowassa itaweza kuwasaidia wakati wa shinda mtakuwa hamkufanya homework yenu vizuri au mlikuwa ni wale wasiosikia la mkuu...

CHADEMA ya Lowassa ni bomu linaloua ajenda za vyama vya upinzani nchini softly.

Lowassa aliingia CHADEMA kwa usanii wa kuja na wabunge 50 wa CCM, wenyeviti wa mikoa wa CCM zaidi ya 22, Wenyeviti wa wilaya zaidi ya 80 na wakuu wa wilaya lakini kilichoshangaza baada ya kuondoka CCM, alifuatana na genge la wachumia tumbo wachache wasiozidi kumi ambao wengine wameanza kurudi CCM. Hii ilikuwa ni ishara halisia kuwa Lowassa ni msanii.

Lowassa aliua ndani ya CHADEMA ajenda ya kupambana na ufisadi na pia akaua ajenda ya kumsimamisha Dk. Slaa kuwa mgombea Urais wa Tanzania.

Maalim Seif, Watu wenye fikra pana wanaomfahamu vizuri Lowassa walikuwa wanakuchora wakati unafunga safari za kutoka Zanzibar kwenda Mikocheni kwenye ofisi ya Lowassa ili kupata ushauri wa kisiasa.

Hukufahamu kama Lowassa ana shahada ya Usanii kutoka UDSM ambayo CCM waliishtukia pamoja na kutumika kutengeneza mafuriko feki na kumtosa katika uteuzi wa Mgombea Urais wa Tanzania.

Makelele ya CUF Zanzibar yakiongozwa na Juma Duni Haji kuhusu ubinafsi wa CHADEMA ni kielelezo cha political frustration and beating a dead horse baada ya kuwekeza fikra zao kwa Lowassa ambaye kama kawaida yake amewaacha wamezama kwenye tope la kisiasa kama ilivyotokea kwa wapambe wengine wa Lowassa ambao miongoni mwao wameanza kurudi CCM.

CHADEMA iliyokuwa ikitoa misaada na ushauri wa dhati ni ile iliyokuwa chini ya Dk. Slaa.

Kutegemea CHADEMA ya Lowassa kukupa msaada kama wewe ni mpinzani ni sawa na kutegemea CCM ikupe msaada wa kisiasa!

Lowassa atawasaidia nini CUF Zanzibar wakati fikra zake bado ni CCM. Aliwatumia tu kwa manufaa yake binafsi ya kufika Ikulu na sasa anaiangalia CUF kama CCM Zanzibar wanavyoiangalia.

Maalim Seif hakufahamu hata neno ‘’mahaba kwa Lowassa’’ lilianzishwa na viongozi wa CCM kutoka Zanzibar ambao kwao siasa siyo za kiitikadi bali ni siasa za kibaguzi kati ya Mwarabu na Mwafrika/mtu mweusi.

Lowassa is toothless without CCM machinery.

Ushauri wa kisanii aliokupa Lowassa wa kususia uchaguzi wa Zanzibar kwa kigezo kuwa atakusaidia katika kuzishawishi nchi wahisani ili waweke vikwazo vya kiuchumi kwa viongozi wa CCM Zanzibar ili kunishinikiza madai yako eti kwa sababu ana mahusiano mazuri na Mabalozi wa Nchi za Magharibi. Kwa sasa amekuacha umezama kwenye tope la kisiasa. Hakuna cha kikwazo cha kiuchumi wala CUF Zanzibar kuongoza Zanzibar.

Nchi zinazotoa vikwazo vya kiuchumi ni nchi za Magharibi ambazo zinaamini CUF ina elements za Islamic fundamentalism. Kwa sasa huwezi kusikia tena kelele za nchi za Magharibi kuhusu uchaguzi Zanzibar.

Kama ilivyo tabia ya watanzania wengi, kwa sasa wameanza kuisahau CUF Zanzibar.

Mwandishi nguli wa Kibrazil aitwaye Paulo Coelho aliwahi kusema “People never learn anything by being told, they have to find out for themselves.”

Maalim Seif aliudharau msemo usemao, ''If you can't get what you want, just take what you get''.

Maalim Seif should have known that a bird in the hand (is worth two in the bush).

Maalim Seif have learned the hard way!

CUF Zanzibar is dying softly and slowly.

maalim_lowassa.jpg
 
Kwa hakika Lowassa ameingia kwenye historia ya uchafuzi wa siasa za upinzani nchini amevuruga mwelekeo wa upinzani bara na visiwani,

Dk Slaa angekuwepo leo kwenye ulingo wa kisiasa tungeona mengi mpaka sasa
ana kipaji cha siasa ana uwezo wa kujieleza na kukieleza kile anachokiamini kwa ufasaha, Lowassa umetupotezea jembe kwa tamaa zako binafsi leo uko kimya umefungwa mdomo laiti ingelikuwa ni Slaa muda huu siasa zingekuwa tamu zenye msisimuko wa aina yake
 
Kwa nini uchaguzi wa Zanzibar ulifutwa
Kwa hali ya sasa Zanzibar hili swali halina mantiki!

Swali ambalo linatakiwa ni kufahamika ni hatima ya maisha ya CUF nje ya uongozi.

Nini hatima ya Maalim Seif baada ya kupokea ushauri wa Lowassa na kuufanyia kazi?
 
Kw
Kwa hakika Lowassa ameingia kwenye historia ya uchafuzi wa siasa za upinzani nchini amevuruga mwelekeo wa upinzani bara na visiwani,

Dk Slaa angekuwepo leo kwenye ulingo wa kisiasa tungeona mengi mpaka sasa
ana kipaji cha siasa ana uwezo wa kujieleza na kukieleza kile anachokiamini kwa ufasaha, Lowassa umetupotezea jembe kwa tamaa zako binafsi leo uko kimya umefungwa mdomo laiti ingelikuwa ni Slaa muda huu siasa zingekuwa tamu zenye msisimuko wa aina yake

Kwaiyo Lowassa ndie aliyepeleka Jeshi Zanzibar!?
Au ndio aliyemuamrisha Jecha afute Uchaguzi!?
Makubwa!
 
Kama CUF Zanzibar mlidhani CHADEMA ya Lowassa itaweza kuwasaidia wakati wa shinda mtakuwa hamkufanya homework yenu vizuri au mlikuwa ni wale wasiosikia la mkuu...

CHADEMA ya Lowassa ni bomu linaloua ajenda za vyama vya upinzani nchini softly.

Lowassa aliingia CHADEMA kwa usanii wa kuja na wabunge 50 wa CCM, wenyeviti wa mikoa wa CCM zaidi ya 22, Wenyeviti wa wilaya zaidi ya 80 na wakuu wa wilaya lakini baada ya kuondoka CCM, alifuata na genge la wachumia tumbo wachache wasiozidi kumi ambao wengine wameanza kurudi CCM.

Lowassa aliua ndani ya CHADEMA ajenda ya kupambana na ufisadi na pia akaua ajenda ya kumsimamisha Dk. Slaa kuwa mgombea Urais wa Tanzania. CHADEMA ya Lowassa amekuwa CCM ya zamani ambayo ilikuwa ya kisanii na haikutaka kabisa kusikia ajenda za ufisadi na rushwa.

Maalim Seif, Watu wenye fikra pana walikuwa wanakuchora wakati unafunga safari za kutoka Zanzibar kwenda Mikocheni kwenye ofisi ya Lowassa ili kupata ushauri wa kisiasa.

Hukufahamu kama Lowassa ana shahada ya Usanii kutoka UDSM ambayo CCM waliishtukia na kumtosa katika uteuzi wa Mgombea Urais wa Tanzania.

Makelele ya CUF Zanzibar kuhusu CHADEMA ni kielelezo cha political frustration and beating a dead horse baada ya kuwekeza fikra zao kwa Lowassa ambaye kama kawaida yake amewaacha wamezama kwenye tope la kisiasa kama ilivyotokea kwa wapambe wengine wa Lowassa ambao miongoni mwao wameanza kurudi CCM.

CHADEMA iliyokuwa ikitoa misaada na ushauri wa dhati ni ile iliyokuwa chini ya Dk. Slaa.

Kutegemea CHADEMA ya Lowassa kukupa msaada kama wewe ni mpinzani ni sawa na kutegemea CCM ikupe msaada wa kisiasa!

Lowassa atawasaidia nini wakati fikra zake na marafiki zake bado ni CCM. Aliwatumia tu kwa manufaa yake binafsi ya kufika Ikulu na sasa anaiangalia CUF kama CCM Zanzibar wanavyoiangalia.

Nchi zinazotoa vikwazo vya kiuchumi ni nchi za Magharibi ambazo zinaamini CUF ina elements za Islamic fundamentalism.

Hamkufahamu hata neno ‘’mahaba kwa Lowassa’’ lilianzishwa na viongozi wa CCM kutoka Zanzibar ambao kwao siasa siyo za kiitikadi bali ni siasa za kibaguzi kati ya Mwarabu na Mwafrika/mtu mweusi.

Ushauri wa kisanii aliokupa Lowassa wa kususia uchaguzi wa Zanzibar kwa kigezo kuwa atakusaidia katika kuzishawishi nchi wahisani ili waweke vikwazo vya kiuchumi kwa viongozi wa Zanzibar ili kunishinikiza madai yako lakini kwa sasa amekuacha umezama kwenye tope. Hakuna cha kikwazo cha kiuchumi wala CUF Zanzibar kuongoza Zanzibar.

Kama ilivyo tabia ya watanzania wengi, kwa sasa wameanza kuisahau CUF Zanzibar.

Mwandishi nguli wa Kibrazil aitwaye Paulo Coelho aliwahi kusema “People never learn anything by being told, they have to find out for themselves.”

Maalim Seif have learned the hard way!

CUF Zanzibar is dying slowly.

maalim_lowassa.jpg
Kinachokuwasha ni nini? Ni kweli Lowasa amesababisha hayo yote ila unamwambia nani hapa au unafiri mwenye uwezo wa kujua hayo yote ni wewe pekee? Huna haja ya kutuambia sisi uelewa wetu ni mkubwa kuliko wewe mchumia tumbo. Ulitaka baada ya uchaguzi kufutwa CFU watangaze vita zanzibar? Miswahili hapa tz ni tatizo sana ndio hawa wanarudisha maendeleo nyuma.

Kila kitu kitakachofanyika kwenye CCM na serikali kazi yao ni kusifia tuu hawana uwezo wa kupambanua A to Z ni kusifia tuu. Enzi za JK walisifia kila kitu licha ya uozo wote ule hakuna aliyekosoa chochote leo hii ni JPM bado wanasifia kila kitu na vicheko vya kinafiki huku wakipondea kila kitu kinachofanywa na upinzani. Kipindi cha Dr. Slaa walipondea leo hii ameondoka bado wanapondea the same kwa CUF. Nyie watu sijui mnaishije hata na familia zenu ningekua mtoto ningesha kuchana siku nyingi, baba unakua na tabia za kike
 
Mlichokifanya Zanzibar dhidi ya ukawa na dhidi ya upinzan Dunia imeonaa...miaka mitano siyo mingii...nyinyi endeleeni tuh utawala wenu wala msihofu...kikubwa nachokiona walichoepusha cuf na ukawa ni fujo na vurugu..kwa ufupi walichofanya zanzibar hawa upinzan ni ukomavu wa hali ya juu sana katika kusimamia haki ya wapiga kura...kushirik kwenye uchaguz kwa namna ya kutafuta vyeo na kula ni jambo rahis tuh...lakin kugoma kushiriki kwa kuchelea kutovunja katiba na kulinda haki ya wananchi walioporwa ushindi wao ni jambo la maana zaid...ni kweli kimaslahi na kitumbo tumbo CUF Wamepoteza ulaji lakn kwa upande mwingine wamesimamia kwenye haki na history itawakumbuka na hata kama matunda ya kitendo hiko yatachelewa ila kwa vizaz na chaguz zinazokuja italeta impact kubwa sana
 
Kama CUF Zanzibar mlidhani CHADEMA ya Lowassa itaweza kuwasaidia wakati wa shinda mtakuwa hamkufanya homework yenu vizuri au mlikuwa ni wale wasiosikia la mkuu...

CHADEMA ya Lowassa ni bomu linaloua ajenda za vyama vya upinzani nchini softly.

Lowassa aliingia CHADEMA kwa usanii wa kuja na wabunge 50 wa CCM, wenyeviti wa mikoa wa CCM zaidi ya 22, Wenyeviti wa wilaya zaidi ya 80 na wakuu wa wilaya lakini baada ya kuondoka CCM, alifuata na genge la wachumia tumbo wachache wasiozidi kumi ambao wengine wameanza kurudi CCM.

Lowassa aliua ndani ya CHADEMA ajenda ya kupambana na ufisadi na pia akaua ajenda ya kumsimamisha Dk. Slaa kuwa mgombea Urais wa Tanzania. CHADEMA ya Lowassa amekuwa CCM ya zamani ambayo ilikuwa ya kisanii na haikutaka kabisa kusikia ajenda za ufisadi na rushwa.

Maalim Seif, Watu wenye fikra pana walikuwa wanakuchora wakati unafunga safari za kutoka Zanzibar kwenda Mikocheni kwenye ofisi ya Lowassa ili kupata ushauri wa kisiasa.

Hukufahamu kama Lowassa ana shahada ya Usanii kutoka UDSM ambayo CCM waliishtukia na kumtosa katika uteuzi wa Mgombea Urais wa Tanzania.

Makelele ya CUF Zanzibar kuhusu CHADEMA ni kielelezo cha political frustration and beating a dead horse baada ya kuwekeza fikra zao kwa Lowassa ambaye kama kawaida yake amewaacha wamezama kwenye tope la kisiasa kama ilivyotokea kwa wapambe wengine wa Lowassa ambao miongoni mwao wameanza kurudi CCM.

CHADEMA iliyokuwa ikitoa misaada na ushauri wa dhati ni ile iliyokuwa chini ya Dk. Slaa.

Kutegemea CHADEMA ya Lowassa kukupa msaada kama wewe ni mpinzani ni sawa na kutegemea CCM ikupe msaada wa kisiasa!

Lowassa atawasaidia nini wakati fikra zake na marafiki zake bado ni CCM. Aliwatumia tu kwa manufaa yake binafsi ya kufika Ikulu na sasa anaiangalia CUF kama CCM Zanzibar wanavyoiangalia.

Nchi zinazotoa vikwazo vya kiuchumi ni nchi za Magharibi ambazo zinaamini CUF ina elements za Islamic fundamentalism.

Hamkufahamu hata neno ‘’mahaba kwa Lowassa’’ lilianzishwa na viongozi wa CCM kutoka Zanzibar ambao kwao siasa siyo za kiitikadi bali ni siasa za kibaguzi kati ya Mwarabu na Mwafrika/mtu mweusi.

Ushauri wa kisanii aliokupa Lowassa wa kususia uchaguzi wa Zanzibar kwa kigezo kuwa atakusaidia katika kuzishawishi nchi wahisani ili waweke vikwazo vya kiuchumi kwa viongozi wa Zanzibar ili kunishinikiza madai yako lakini kwa sasa amekuacha umezama kwenye tope. Hakuna cha kikwazo cha kiuchumi wala CUF Zanzibar kuongoza Zanzibar.

Kama ilivyo tabia ya watanzania wengi, kwa sasa wameanza kuisahau CUF Zanzibar.

Mwandishi nguli wa Kibrazil aitwaye Paulo Coelho aliwahi kusema “People never learn anything by being told, they have to find out for themselves.”

Maalim Seif have learned the hard way!

CUF Zanzibar is dying slowly.

maalim_lowassa.jpg
Kwanza ulichoandika hakieleweki! Wewe Gamba ni wa kuisikitikia CUF kweli? Wewe ulitaka watu wale haramu kwa tamaa zemu za madaraka? Huijui siasa ndio maana unatokwa tu povu. Lowassa ni namba nyingine mkae kimya mwacheni nini tumbuaneni majipu huko.
 
Dr Slaa na Prof Lipumba watabaki kuwa wanasiasa bora kabisa kutoka upinzani wanaosimamia misingi na ueledi....

Lowassa haingii kwa hao jamaa, anachowashinda ni uwezo wake wa kupumbaza watu.
Lowassa ana uwezo wa kupumbaza watu wajinga lakini mwenye fikra pana huelewa mapema kusudio lake.

Lowassa alikuwa na nguvu wakati akiwa ndani ya CCM lakini baada ya kutoka, hata wale walikuwa wanapiga magoti mbele yake kwa sasa hawaonekani.

Wanaoziweza siasa za upinzani ni kina Mbowe ambao hawana tatizo katika kuchanganyana na wanaCCM kwa sababu kwao siasa ni kama biashara ya kupata pesa na siyo biashara ya kupata cheo.
 
Masikini baada ya Dr Mihogo kuona anapotea kisiasa hata hawamuongelei akakutuma uanzieshe uzi tuju yupo. Ndiyo tumesikia kuwa mihogo yupo mwambie aende kwenye magazeti aponde CHADEMA asifie majambazi kodi ya nyumba atumiwe, maisha yasonge hilo ndo amebakiza Lowasa ni no nyingine, tumekusikia nenda ukalipwe
 
Back
Top Bottom