Maalim Seif ni muelewa zaidi kuliko unavyodhani

mattargsm

JF-Expert Member
Apr 12, 2016
391
150
Kuhusu siasa za barani Africa Maalim Seif nimuelewa zaidi kuwa watawala walioko madarakani wanataka hekima zaidi na busara kuwaondoa kuliko maandamano au mabavu ndio Mzee akatulia kwa uwelewa alio tunukiwa na MWENYEZIMUUNGU MTUKUFU. Hii ni nuru (light) ya ukweli kabisa
 
Hilo halina ubishi wala halihitaji utafiti, angekuwa na tamaa kama green guards mbona machafuko yangetokea, lakini cuf wakawaachia mpaka na wawakilishi na madiwani ambao walikuwa wamekwishatangazwa washindi na kupewa Vyeti vya ushindi
 
Back
Top Bottom