ntogwisangu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 524
- 164
Mungu katika kumuumba mwanadamu alimuumba na tamaa!!!LAKINI KWA WALE WATAKAOKUBALIANA NAMI!!!NI KWA NINI BINADAMU WENGI TUNA TAMAA? na tumeumbwa kwa mfano wa mungu?au hii ni dhambi tukutanayo duniani?na kama ni dhambi kwa nini tunashindwa chukua hatua kwa binadamu wenzetu waionyeshayo dhambi hiyo?!!!!HATA PALE TAMAA YAO IPO KIMASLAHI KWAO NA HAINA TIJA?UKIANGALIA YANAYOTOKEA CUF HAPANA SHAKA YATATOKEA SIKU MOJA MAHALI PENGINE POPOTE!!KWA FIKRA ZANGU MAALIM SEIF ANAWAKILISHA TAMAA ZILE ZILE ZA MWANADAMU!!!!HAYA YAPO CHADEMA VILE VILE KWA KAMANDA MBOWE!!!JE TAMAA HIZI NI KWELI ZINAWAKILISHA VIONGOZI WANAMAPINDUZI?KWA AJILI YA WATU?WATU WAKIKUPINGA ACHANA NAO KAA PEMBENI!!!