mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Amesema hayo wakati akihojiwa na BBC Swahili amesema "Mimi Ni muumini kabisa wa Muungano ila uwe wa haki"
======
Akizungumza na BBC idhaa ya Kiswahili, Mgombea wa Urais visiwani Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, ameanisha baadhi ya mambo anayoyapa kipaumbele katika sera zake ikiwa ni pamoja na kuondoa umasikini miongoni mwa Wazanzibari pamoja na kuondoa tatizo la kutokuwa na ajira.
Maalim Seif pia amesema moja katika mambo ambayo anapanga kuwafanyia Wazanzibari ni kudumisha umoja, kwamba atawaunganisha kwa kuhakikisha wanaepuka ubaguzi wa aina yoyote ile.
Akizungumzia kuhusu suala la Muungano, Seif amesema:
"Mimi ni muumini mkubwa wa Muungano. Mimi nataka Muungano wa Haki; Muungano wa Usawa."
"Mambo yote yanaamuliwa Dodoma. Hata yale mambo ambayo ni ya Zanzibar peke yeke, haiwezi kuamua."
======
Akizungumza na BBC idhaa ya Kiswahili, Mgombea wa Urais visiwani Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, ameanisha baadhi ya mambo anayoyapa kipaumbele katika sera zake ikiwa ni pamoja na kuondoa umasikini miongoni mwa Wazanzibari pamoja na kuondoa tatizo la kutokuwa na ajira.
Maalim Seif pia amesema moja katika mambo ambayo anapanga kuwafanyia Wazanzibari ni kudumisha umoja, kwamba atawaunganisha kwa kuhakikisha wanaepuka ubaguzi wa aina yoyote ile.
Akizungumzia kuhusu suala la Muungano, Seif amesema:
"Mimi ni muumini mkubwa wa Muungano. Mimi nataka Muungano wa Haki; Muungano wa Usawa."
"Mambo yote yanaamuliwa Dodoma. Hata yale mambo ambayo ni ya Zanzibar peke yeke, haiwezi kuamua."