singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,536

Huu sasa unaweza kuwa ufisadi, Hospital ya Mnazi mmoja Zanzibar wangepatiwa hivi fedha madawa yangejaa kusingekuwa na anayekosa dawa
![]()
Huu sasa unaweza kuwa ufisadi, Hospital ya Mnazi mmoja Zanzibar wangepatiwa hivi fedha madawa yangejaa kusingekuwa na anayekosa dawa
Maalim saif Maalim saif Maalim saif maalim saif maalim saif maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaalim saifMabadilikoooo... Maalim Seif
Maalim Seif.... Mabadilikooo
ptuuu! pumba tupuSafi sana hio ndio smz....Kama Makamo wa Rais Maalim anastahili kupatiwa nyumba akiwa Dar es salaam kama Seif Idd.
Lakini ombi lake halikupewa uzito na kila akija Dar huwa anafikia hapo serena . Ni dharau yao juu yake kuona wakimpa nyumba basi atafaidi kumbe hili ni suala la matumizi mazuri ya fedha..hio ndio ccm znz
Ongeeni na shein si ndo rais wa zanzibar. Sasa mnawauliza watu waliopo kwenye mtandao ili iweje![]()
Huu sasa unaweza kuwa ufisadi, Hospital ya Mnazi mmoja Zanzibar wangepatiwa hivi fedha madawa yangejaa kusingekuwa na anayekosa dawa
utakuwa mtu mshenzi sana wewe, akamatwe kwa lipi? mkewe kapita vip akienda zake kula pasaka wala hakuna aliyekuwa na habari nae.Ulitaka abaki Zanzibar ili akamatwe na kundi lwa wahuni akina Jecha na maCCM wenzie kisha aozee lock up? Ni afadhali atumie hata 1bn lakini aendeleze mikakati dhidi ya hawa madhalimu akiwa nje ya Zanzibar.
as long as wanalipa serkali ya mapinduzi ya zanzibar! sisi bara haituhusu!
wazanzibar ndio wana haki ya kulalamika ufisadi au sio!...
ni sawa kiongozi kutoka nchi jirani kaja kwetu akaa hoteli ... sioni tatizo
#zanzibar yenye mamlaka kamili
![]()
Huu sasa unaweza kuwa ufisadi, Hospital ya Mnazi mmoja Zanzibar wangepatiwa hivi fedha madawa yangejaa kusingekuwa na anayekosa dawa
Makamanda tuendelee kuzungusha mikono.Wakati anadai wafuasi wake wamekimbilia msituni, yeye kakimbilia Serena
Hizo ni vijisenti tu, kwa nini Serikali ya awamu ya nne pamoja na SMZ huwakumpa nyumba DSM?Mabadilikoooo... Maalim Seif
Maalim Seif.... Mabadilikooo