Yani mtu unaongea kirahisi tu!!! muwe mnatafakari. wake kwa waume zaidi ya laki 4. waliacha miji yao, wakaacha shughuli zao za kipato. ambao walipaswa kupumzika waka ahirisha mapumziko yao. wakajichafua vidole vyao. jua la kwenye foleni lilikuwa lao. afu simply makosa ya watu wasiozidi hata 100. yanahalalalisha ya kwamba watu zaidi ya laki 4 hawakuzalisha,walifanya zoezi ambalo halikuwa na tija bali limeleta hasara kwao sababu waliacha shughuli zao na hasara ya pili ni kwa taifa zima kwamba karatasi,mawakala,waangalizi walilipwa pesa kwa kufanya zoezi ambalo halikuwa na tija kwa taifa. unapoandika kitu tafakari sana sio kila assumption unayoambiwa au inayokuja kichwani mwako inastahili kutolewa hadharani. mpumbavu akinyamaza uhesabika kama mwenye hekima "A silent fool is counted as a wise one"