in and out
Member
- Jun 30, 2011
- 69
- 6
makamu wa kwanza wa Rais wa zanzibar na katibu mkuu wa cuf amesema ni ndoto ya mchana kama ipo siku atarudisha kadi ya cuf na kuchukua ya ccm, "anasema siku makamba alimwambia anaona aje angejiunga tu na ccm? jokes, akasema nipo tayari kama nitapewa uenyekiti wa ccm.