Mh! unapaswa kupitia upya katiba ya Zanzibar! Hapo kwenye nyekundu hawapo kabisa sijui unatumia katiba gani?![/QUOTEba2]
vipi anko tumia nafasi yako kutoa maoni mchakato katiba mpya. Tutumie nafasi kutafuta suluhu ya mazonge yetu. Kwa mfano kwa nini maraisi wawili.makamo raisi wangapi? Titles get in the way. One title one person. Muhimu ni formular ya kushare madaraka. Si unaona hapo title ya waziri kiongozi mwandamizi ni moja tu. Domain ya Maalim mpaka wadau waamue vyenginevyo.