Maalim Seif anguruma Tanga

Maalim Seif anguruma Tanga

Mh! unapaswa kupitia upya katiba ya Zanzibar! Hapo kwenye nyekundu hawapo kabisa sijui unatumia katiba gani?![/QUOTEba2]

vipi anko tumia nafasi yako kutoa maoni mchakato katiba mpya. Tutumie nafasi kutafuta suluhu ya mazonge yetu. Kwa mfano kwa nini maraisi wawili.makamo raisi wangapi? Titles get in the way. One title one person. Muhimu ni formular ya kushare madaraka. Si unaona hapo title ya waziri kiongozi mwandamizi ni moja tu. Domain ya Maalim mpaka wadau waamue vyenginevyo.
 
Mh! unapaswa kupitia upya katiba ya Zanzibar! Hapo kwenye nyekundu hawapo kabisa sijui unatumia katiba gani?!

kama unafuata hoja yangu katiba pia ni moja (ndio hiyo tunayoichangia mawazo) katiba ya znz ni sehemu ya katiba ya JMT. Na ni lazima iwepo kuwaongoza wazanzibari wakiwa ndani ya Jmt. Katiba yao wazanzibari ambayo itaheshimu mambo ya msingi kama vile uwepo wa Suk ikiwa ni serikali ndogo ndani ya serikali kuu ya jmt. Siyo suk ya sasa ambayo iko isolated from the jmt.
 

Sasa ni Faida kuwa na Government of National Unity; Maalim Seif halipii Gharama za USAFIRI kuna NDEGE ya SERIKALI Malazi yeye na UJUMBE wake pia ni BURE; na TANGA CUF inapendeka - hakupata Mashabiki wa KUMZOMEA kama WAKATI ULE Rais Kikwete alipokwenda TANGA...

Kwahiyo CUF pia inakula pesa za WALIPA kodi bila shida YOYOTE na PESA zao za RUZUKU ziko wapi??? Hawafanyi MIKUTANO isipokuwa Maalim SEIF

hata mimi nimeiona hiyo. Maalim majaku mwisho chumbe. Akienda tanga cuf wamgharimie
 
Back
Top Bottom