Pawa chilonda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 355
- 413
Chichidodo ni aina ya ndege anayepatikana nchini Ghana. Kitu cha kipekee kuhusu ndege huyu ni kwamba anachukia sana kinyesi cha binadamu kwa nafsi yake yote, lakini chichidodo anapenda sana kile kinachotokana na kinyesi cha binadamu
Serikali ya zenji imetupa ndoano Maalim ikwepe usiwe kama chichidodo kumbuka vijana walopoteza maisha sababu ya huo uchaguzi damu bado mbichi Sana! Vidonda bado vibichiiii
Naomba nafsi yako isitawaliwe na ubinafsi.
Serikali ya zenji imetupa ndoano Maalim ikwepe usiwe kama chichidodo kumbuka vijana walopoteza maisha sababu ya huo uchaguzi damu bado mbichi Sana! Vidonda bado vibichiiii
Naomba nafsi yako isitawaliwe na ubinafsi.