Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Amani iwe kwenu.
Falsafa za siasa za Lowasa zzimeanza kutekelezwa na Maalim Seif imedhihirika.
Katika hali ya kushitukiza jana baada ya swala lilijitokeza kundi kubwa linalosemekana kuandaliwa na kina Jussa na wenzake ili kutengeneza taswira ya kukubalika Maalim.Vijana waliima "raisi,raisi...!.
Nilikuwa na muuliza Maalim; Je tangu huu mwaka uanze hujawahi kwenda msikitini? Kwanini mara nyingine vijana hawakusanyiki?..Cuf wacheni michezo hii ya kuigiza.Huku Dar nako Lipumba ametengeneza makundi kuja kumshawishi arejee uenyekiti,Prof Lipumba hizi siasa za maigizo ulianza lini?Mbona kila wanapokuja hatupati mrejesho?
Ikumbukwe tu kuwa maigizo ya kutengeneza wachungaji,masheikh,wanafunzi yalifanywa CCM na kukatwa alikatwa.Sasa hili limewakamata na litawapoteza.
Propaganda za uongo zina ukomo...na ukomo ukifika mtaaibika.Sidhani kama Jussa na wenzake wanaweza kuandaa makundi haya kila ijumaa kwa miaka mitano bila ya kuchoka na madhara yake watawachoka nanyie.Kwa Prof.Lipumba sidhani kama makundi haya yatadumu kuja kufanya maigizo hapo kwako kwa muda mrefu bila kupata matokeo,usipopewa uenyekiti watakumwaga na utabaki na aibu.
Nimeandika haya machache ili kunyoosha wanaopotoka.Nawasilisha.
Falsafa za siasa za Lowasa zzimeanza kutekelezwa na Maalim Seif imedhihirika.
Katika hali ya kushitukiza jana baada ya swala lilijitokeza kundi kubwa linalosemekana kuandaliwa na kina Jussa na wenzake ili kutengeneza taswira ya kukubalika Maalim.Vijana waliima "raisi,raisi...!.
Nilikuwa na muuliza Maalim; Je tangu huu mwaka uanze hujawahi kwenda msikitini? Kwanini mara nyingine vijana hawakusanyiki?..Cuf wacheni michezo hii ya kuigiza.Huku Dar nako Lipumba ametengeneza makundi kuja kumshawishi arejee uenyekiti,Prof Lipumba hizi siasa za maigizo ulianza lini?Mbona kila wanapokuja hatupati mrejesho?
Ikumbukwe tu kuwa maigizo ya kutengeneza wachungaji,masheikh,wanafunzi yalifanywa CCM na kukatwa alikatwa.Sasa hili limewakamata na litawapoteza.
Propaganda za uongo zina ukomo...na ukomo ukifika mtaaibika.Sidhani kama Jussa na wenzake wanaweza kuandaa makundi haya kila ijumaa kwa miaka mitano bila ya kuchoka na madhara yake watawachoka nanyie.Kwa Prof.Lipumba sidhani kama makundi haya yatadumu kuja kufanya maigizo hapo kwako kwa muda mrefu bila kupata matokeo,usipopewa uenyekiti watakumwaga na utabaki na aibu.
Nimeandika haya machache ili kunyoosha wanaopotoka.Nawasilisha.