Maajabu ya Wabunge wetu: "Double Taxation" katika Road License, na Wabunge wanashangilia?

Synthesizer

Platinum Member
Feb 15, 2010
12,639
22,490
Nina uhakika kabisa Waziri Mpango amefanya jambo hili kwa makusudi kabisa kwa kuwajua wabunge wetu si watu kwa kutafakari sana mambo, na kuficha "double taxation" katika suala la road license akijua wabunge watakuwa busy wakishangilia "kufutwa kwa road license" bila kujua kwamba ameingiza element ya "duble taxation".

Double taxation kwa kifupi ni kwamba unatozwa kodi kwa kitu kile kile mara mbili. Sasa katika sheria za kodi, hili ni jambo lisilokubalika kabisa (unethical).

Kwa kifupi ni kwamba "serikali imechukua uamuzi road license ilipwe mara moja pale gari linaposajiliwa", na pia "inaendelea kulipwa katika mafuta ya petroli na diesel".

Kwa kifupi basi, tutakuwa tunalipa road license fee/tax mara mbili;
  1. unaposajili gari
  2. unaponunua mafuta ya gari ulilolipia license fee wakati wa kulisajili
Ina maana, unapoagiza gari, ukalitoa bandarini baada ya kulipia license fee/tax na kodi nyingine, ukienda tu kujaza mafuta hiyo gari dakika kadhaa baada ya kulitoa bandarini - unalipia tena license fee/tax mara ya pili.

Sasa swali ni kwamba, inakuwaje wabunge wameshindwa kuliona hili na kushangilia lilipotangazwa?

Na swali kwa Waziri Mpango na serikali kwa ujumla ni kwamba, hivi mmefikia hatua ya kukosa utu na huruma hadi kuanza kufanya double taxation bila kujali, mkijua wazi kwamba katika sheria za kodi, double taxation ni ufisadi/wizi wa kiserikali (unethical) kwa wananchi wake?

Mpango na serikali yenu msitufanye sisi wananchi hatujui kufikiri. Road license fee/tax inapaswa kulipwa mara moja - either wakati wa kusajili gari kama once off tax/fee, au katika mafuta. Kwa hiyo kimoja kati ya hivi viwili kinapaswa kuondoshwa mara moja - la sivyo huo ni wizi wa mchana wa serikali kwa wananchi wake.
 
Mkuu Synthesizer , tuwekane sawa kwenye hili suala la doube taxation. Je wakati kodi ilikuwa kwenye mtindo wa road licence haikuwa kodi? na je ni kwa namna ipi double taxation ni wizi?

Mkuu, wakati road license fee inalipwa kila mwaka haikuwa double taxation. Ule ulikuwa ni utaratibu wa kila mwaka wa kuilipa. Double taxation inakuja pale ambapo unalipa kodi kwa kitu kile kile katika kipindi kile kile cha wakati. Ndio maana nikasema ukilipia road license tax wakati wa kusajlli gari, unatapokwenda kuliweka mafuta unakuwa umeshalilipia road license tax, sasa kwa nini utakiwe kulipia tena road license tax kwenye mafuta ya hiyo gari? Ina maana inalipa tax ile ile mara mbili kwa gari hilohilo katika kipindi kimoja.

Technically, Waziri Mpango alipaswa kusema serikali imeanzisha kodi mpya itakayolipwa wakati wa kusajili gari, na kwamba road license tax inayohamishiwa kwenye mafuta. Lakini sasa serikali inatoza kodi nyingi mno kwenye magari labda wameshindwa hata kupata jina la kodi hiyo mpya wakati wa kusajili gari!

Kwa mfano, tulipoamua kuweka road toll kwenye mafuta, tuliondoa vile vibanda vya road toll barabarani. Sasa kwa hili la road license fee kutozwa wakati wa kusajlli gari na kwenye mafuta, ni kama kusema unaweka road toll kwenye mafuta lakini bado kutakuwa na vibanda barabarani vya kutoza road toll. Hiyo inakuwa double taxation. Ni unethical, ni ufisadi wa kiserikali. Labda the mot blatant expression I can coin here ni kwamba serikali inataka kututoza hii kodi kinyume cha maumbile.
 
Unajua maana ya double taxation?
Bwana wee, mie sijaandika hii thread kwa ajili ya watu waliobobea katika mambo ya taxation. Hujaelewa ninachomaanisha kwenye thread?

Angalia concept na philosophy ya double taxation ninayoongelea rather than the technicality in the meaning of double taxation. Unaongea kama mwanasheria alieanza kusoma taxation.

Inawezekna kwamba traditional philosophy ya double taxation iko katika income - taxes paid twice on the same income - lakini sasa, hatuwezi kufanya extrapolation ya hiyo concept kwenda kwenye taxes paid on the same service or product? Kama wewe ni guru wa taxation, try to think outside your taxation cocoon. JF ina watu wenye background mbalimbali.
 
Hoja yako sio kweli.
Kama ingekuwa kweli basi kila kitu kilichopita bandarini kina zaidi ya double taxation. Tuipongeze serikali, kodi hii ilikuwa kero

Kuna vitu lazima uwe unakubali huvielewi na ni busara kwako kukaa kimya. Waambie waliokutuma kutoa comment kila unapoona kama serikali inakosolewa kwamba elimu yako iko chini sana kujibu hoja nyingi zinazotolewa.
 
Mkuu, wakati road license fee inalipwa kila mwaka haikuwa double taxation. Ule ulikuwa ni utaratibu wa kila mwaka wa kuilipa. Double taxation inakuja pale ambapo unalipa kodi kwa kitu kile kile katika kipindi kile kile cha wakati. Ndio maana nikasema ukilipia road license tax wakati wa kusajlli gari, unatapokwenda kuliweka mafuta unakuwa umeshalilipia road license tax, sasa kwa nini utakiwe kulipia tena road license tax kwenye mafuta ya hiyo gari? Ina maana inalipa tax ile ile mara mbili kwa gari hilohilo katika kipindi kimoja.

Technically, Waziri Mpango alipaswa kusema serikali imeanzisha kodi mpya itakayolipwa wakati wa kusajili gari, na kwamba road license tax inayohamishiwa kwenye mafuta. Lakini sasa serikali inatoza kodi nyingi mno kwenye magari labda wameshindwa hata kupata jina la kodi hiyo mpya wakati wa kusajili gari!

Kwa mfano, tulipoamua kuweka road toll kwenye mafuta, tuliondoa vile vibanda vya road toll barabarani. Sasa kwa hili la road license fee kutozwa wakati wa kusajlli gari na kwenye mafuta, ni kama kusema unaweka road toll kwenye mafuta lakini bado kutakuwa na vibanda barabarani vya kutoza road toll. Hiyo inakuwa double taxation. Ni unethical, ni ufisadi wa kiserikali. Labda the mot blatant expression I can coin here ni kwamba serikali inataka kututoza hii kodi kinyume cha maumbile.
umewahi kujiuliza mfanyakazi wa tanzania analipia kodi mshahara wake mara ngapi?

TAZAMA
income tax approximately 30%
kisha hulipia VAT 18% on every transaction, this includes: bank withdrawal, celluler phones diposits, celluler phones money transfers and bills settlement
 
Hawajasema unalipia tsh ngapi unapolisajili.
Ni kiasi gani wakati wa kusajili unalipa.
 
Kodi Nzuri ni Ile isiyoumaa Yaani (economy) so me naona hakutakuwa na tatizo once gari linanunuliwa Mara Moja.... So kodi YA road licence kuwekwa kwenye mafuta ni Sawaa... Kwan kuna kipindi utakumbuka kama unalipa kodi Kupitia mafuta unayonunua.. Itakua ishazoelekaaa

Sawa Mkuu, lakini hapa katuongei kodi ya road license kuwekwa au kutowekwa kwenye mafuta - tunaongelea kodi hiyo kutozwa mara mbili kwa wale wanaoingiza au kusajili magari. Hilo halina athari kwa mtu ambaye tayari ana gari lililosajiliwa.

Na ningependa niliweke hili sawa. Binafsi naunga mkono sana tu road license fee/tax kuhamishiwa kwenye mafuta, japo naelewa wazi serikali imetumia nafasi hiyo kuipandisha kwa zaidi ya asilimia 100% bila watu kutambua hilo.
 
Mkuu, wakati road license fee inalipwa kila mwaka haikuwa double taxation. Ule ulikuwa ni utaratibu wa kila mwaka wa kuilipa. Double taxation inakuja pale ambapo unalipa kodi kwa kitu kile kile katika kipindi kile kile cha wakati. Ndio maana nikasema ukilipia road license tax wakati wa kusajlli gari, unatapokwenda kuliweka mafuta unakuwa umeshalilipia road license tax, sasa kwa nini utakiwe kulipia tena road license tax kwenye mafuta ya hiyo gari? Ina maana inalipa tax ile ile mara mbili kwa gari hilohilo katika kipindi kimoja.

Technically, Waziri Mpango alipaswa kusema serikali imeanzisha kodi mpya itakayolipwa wakati wa kusajili gari, na kwamba road license tax inayohamishiwa kwenye mafuta. Lakini sasa serikali inatoza kodi nyingi mno kwenye magari labda wameshindwa hata kupata jina la kodi hiyo mpya wakati wa kusajili gari!

Kwa mfano, tulipoamua kuweka road toll kwenye mafuta, tuliondoa vile vibanda vya road toll barabarani. Sasa kwa hili la road license fee kutozwa wakati wa kusajlli gari na kwenye mafuta, ni kama kusema unaweka road toll kwenye mafuta lakini bado kutakuwa na vibanda barabarani vya kutoza road toll. Hiyo inakuwa double taxation. Ni unethical, ni ufisadi wa kiserikali. Labda the mot blatant expression I can coin here ni kwamba serikali inataka kututoza hii kodi kinyume cha maumbile.
Hivi hata pikipiki zimesamehewa kodi?
Umeeleweka. Point taken.
 
Kiaina ungesubiri ukasoma hiyo budget yake kizaidi kabla ya kukimbioia kuandika hayo.

Inaonyesha umeumia kuona kuwa wamefurahia budget ya mwaka huu, si umesikia kuwa ni haijawahi kutokea kabla...ha ha haaaa
 
Mi nmwelewa jamaa, ni rahsi tu kiwa wangetoa iyo wanayoita kusajili mara ya kwanza, ili ibaki completely kwenye mafuta, ili hiyo gari inapotoka bandarini ikawekwa mafuta ndio ianze kulipia kodi.

Ila kwasasa kinachofanyika ni kama utakuwa bandarini ukalipa road licence tsh 250000/= ukiwa palepale ukaingiza mafuta kwenye tank basi ushaongeza iyo 250000/=

Kama kwenye kila liter moja road licence itakuwa ni sh 50 ukaweka lita 50 basi iyo gari kwa wakati huo huo imelipa tsh 2500 ya ziada ya kodi ileile ma si 250000 tena inakuwa 252500.
 
umewahi kujiuliza mfanyakazi wa tanzania analipia kodi mshahara wake mara ngapi?

TAZAMA
income tax approximately 30% kisha hulipia VAT 18% on every transaction, this includes: bank withdrawal, celluler phones diposits, celluler phones money transfers and bills settlement

Nakuelewa. Huo ndio ukweli wenyewe wa kodi! Lakini kumbuka kwamba tax unazozisema hapo hazipo kwa ajili ya wafanyakazi tu. Hata yule aliye exempted kwenye income tax analipa hizo goods and services taxes.

Ndio maana "mzigo wa kodi" ni jambo kubwa sana katika duru za siasa, na linaweza kukiondoa chama madarakani. Na ndio maana nikasema kutoza kodi ya road license wakati wa kusajiri gari na kwenye mafuta ni kuongeza mzigo wa kodi isivyofaa.
 
Back
Top Bottom