mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,734
Wee naye si kilaza kama wabunge wako tu,huwezi kuelewa kamwekwa hiyo tukusaidiaje sasa, maana sijaona ulichoongea sana sana povu tu...
Wee naye si kilaza kama wabunge wako tu,huwezi kuelewa kamwekwa hiyo tukusaidiaje sasa, maana sijaona ulichoongea sana sana povu tu...
Tatizo kila msema ukweli mmekaririshwa lazma atakuwa ametoka CHADEMA tu, wengine tunatumwa na Idea zetu tu, kama wewe hoja zako za kushikiwa kivyakoVijana wa bavicha mmeanza utumbo wenu wakati Silende kasema wana mpango wa kurudi
Naibu Spika: Nimewasamehe wao hawataki. Ndioooooooo....oooNaibu Spika: Wanaoafiki hoja kuwa usiku uitwe mchana na mchana uitwe usiku waseme ndioo
wabunge 'wale' : ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Halafu anashangiliwa sanaUtaona mbunge na heshima ya kuitwa mbunge anaomba mirungi iruhusiwe
Kwanini waongee wakati wakiongea wanaambiwa sit down kama darasa la tatu.Ila na wabunge wa UKAWA watakuwa wanatoka hadi lini? sauti zao wanazipaza wakiwa wapi? Hawaoni kwamba siku kukiwa na issue ambayo ina utata na inaweza kupata upinzani mkubwa kupitishwa watamtumia naibu spika ila kuepusha nguvu ya upinzani? Rudini bungeni pigeni kelele hata kama ccm na serikali yake hawatawasikia sisi wapiga kura na dunia nzima itawasikia and you will be rewarded!
Hadi vigeregere alipigiwaHalafu anashangiliwa sana
Donda ndugu haliponi hadi linanukaAfadhali mirungi, mbunge anasimama kutetea bangi, halafu anapewa posho. ccm ni donda lenye harufu mbaya sana,
kaeni ila mjue hamtarudi bungeni mnaanza kutuboa hata ss ukawahata mwaka mzima tutakaa nje