Lucas mwashamba
Member
- Jul 30, 2025
- 97
- 324
Kila nikiangalia hii picha na bubujikwa na machozi ya furaha hakika mpendwa wetu yupo mahari salama hapo wakoloni wanajua wanamkomoa
Wakoloni walimuweka gerezani Nelson Mandela wakidhani wanampunguza makali kumbe ndo wanamjenga kiakili na ukomavu na ndo tunashuhudia kwa tundulisu Leo hii yupo gerezani
TUNDULISU atatoka gerezani na kuchukua nchi na kuiongoza katika mwelekeo wa demokrasia ya kweli na haki kwa kila mtu na Kila mmoja wetu atakua na haki ya kutoa maoni kwa serikali yake
Pia wananchi wote tutakuwa na haki sawa kwa kila kitu kuanzia huduma za kijamii, mahakamani n.k na Kila mtu atakua yupo na uhuru wa kuamua nani awe kiongozi na si kupangiwa na watawala nani awaongoze wananchi kama Sasa hivi
SI kwamba nawachukia viongozi wa CCM hapana ila tunahitaji fikra mpya na viongozi wenye kalama ya uongozi ambao mfano wake ni lissu na heche
Mungu ibariki TANZANIA, Mungu mbariki TUNDULISU na uibariki CHADEMA
Wakoloni walimuweka gerezani Nelson Mandela wakidhani wanampunguza makali kumbe ndo wanamjenga kiakili na ukomavu na ndo tunashuhudia kwa tundulisu Leo hii yupo gerezani
TUNDULISU atatoka gerezani na kuchukua nchi na kuiongoza katika mwelekeo wa demokrasia ya kweli na haki kwa kila mtu na Kila mmoja wetu atakua na haki ya kutoa maoni kwa serikali yake
Pia wananchi wote tutakuwa na haki sawa kwa kila kitu kuanzia huduma za kijamii, mahakamani n.k na Kila mtu atakua yupo na uhuru wa kuamua nani awe kiongozi na si kupangiwa na watawala nani awaongoze wananchi kama Sasa hivi
SI kwamba nawachukia viongozi wa CCM hapana ila tunahitaji fikra mpya na viongozi wenye kalama ya uongozi ambao mfano wake ni lissu na heche
Mungu ibariki TANZANIA, Mungu mbariki TUNDULISU na uibariki CHADEMA