Naupenda Sana ukatoliki, nawapenda pia wasio wakatoliki, nawapenda hata wale wanaokejeli ukatoliki maana tumeumbwa na Mungu mmoja, Mungu aliue hai hakutubagua kulingana na dini zetu, maana yeye yupo kabla ya dini, na alituumba tukiwa hatuna dini, sasa kutukana, kukejeli kwako wewe ambaye hujawahi hata muona Mungu kwa kuamini upo sahihi ilhali bado inatenda dhambi na bado unahitaji huruma yake Ni sawa na kumkufuru aliuekuumba na kumkosoa yeye. Kuwa makini Sana unapoandika jambo linalohusu imani ili usijetenda dhambi, usitumie chuki yako ya kibinaadam kukashifu kazi za Mungu. Tafakari na pia omba msamaha. Ukiona ushauri wangu SI sahh fanya vile unavyojisikia.