Maajabu ya mti wa ubuyu

Siku ukindondoka na watu wakiwemo ndyo wataisoma no
 
Jiti kubwaa lakini hasara tupu hata kibao cha kukalia hutoi.lingekuwa linatoa mbao dahh
 
Wakati kwetu tunaimani mbuyu ni nyumba za mashetani kumbe huku kwenu ni BAA
 
Hapo bongo kuna mganga ofisi yake ni ndani ya mbuyu kama hivyo
 
Hiyo ni lugha ya kiswahili KUDONDOKA linatokana na neno KUANGUKA
Neno KUDONDOKA linatumika kwenye vitu vyenye asili ya kimiminika mfano maji, sharubati, chai nk. Mbuyu haudondoki bali unaanguka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…