Maajabu ya Mji wa Moshi

Naona Wachagga wanamalizia stress zao kwenye huu uzi. Wamepata mahali pa kupumulia kana kwamba wamebanwa kiaina fulani hivi.
Si kweli hapa jf ikipita mwezi mmoja bila kubandikwa uzi wa wachaga hapanogi sababu comment mbali mbali zinawamotivate watu kuendeleza majumbani kwao tukubali tu yaishe awa jamaa walishatangulia ndio wana run Tanzania wako juu aisee na nnakuambia huu uzi utapata wachangiaji zitafika page hata 800
 
Shida ya wachaga ushamba uliokithiri!!

Yuko radhi kujenga hotel ya kisasa Mbeya mjini lkn sio Moshi mjini!
 
Mtoa mada hajasema habari ya huko migombani ye kasema moshi mjini
 

Kibororoni -toroka uje ni noumaaa


cc Smart911
 


Shikamoo mwalimu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…