Mbwa mwitu ni wakatili Kwa wanyama wanaowindwa
Yaani Bora aliwe na Simba kula mbwa mwitu
Hawa huanza kula mnyama akiwa hai, jukumu la kufa litamhusu mnyama mwenyewe na Muumba wake
Basi nadhani nomewachanganya π€£ππππ ila nahisi mtoa mada amezungumzia wolves wewe unazungumzia African wild dogs.. ambao ndio mbwa mwitu wa afrika hawa wanaishi kwa magroup wanaweza wakafika hata 50 na ndio ambao wanamla mnyama akiwa hai infact ubabe wao uko kwenye wingi
Hao anaozungumzia mtoa mada ambao ndio kwenye picha ni wolves ambao ndio mara nying wanaishi family lifer au solitary life ni wakubw akwa umbo kuliko wild Dogs na jamii za wazungu za zamani nchi za scandinavia na hata wahindi wekundu wanawachukulia kama moja ya wanyama wa kiimani sana wanaamini ni roho za mashujaa wa zamani waliokufa
We ni mmoja wa hao mbwa mwitu?πΊ Mbwa mwitu hali mizoga, iwe ya wanyama au ya binadamu huishi maisha yake yote na mwenzi mmoja, na hafanyi mapenzi na mama yake au dada yake.
Ni mnyama anayejitoa kwa mwenzi mmoja (monogamous) na hacheat.
Ikiwa mwenzi wake anakufa, mbwa mwitu hubaki peke yake.
Anawajua vizuri watoto wake, ni mnyama pekee anayewasaidia wazazi wake wanapokuwa wazee sana kwa kuwapelekea chakula.
β¨ Unapomuua mbwa mwitu, hukutazama machoni mpaka roho yake inapomuacha.
Mbwa mwitu ni mwerevu kwa asilimia 25 zaidi ya mbwa hawa wanaofugwa majumbani na ni mnyama pekee ambaye huwezi mfunza kama hawa mbwa wa kawaida.
Mbwa mwitu hufikiri, huota ndoto, hupanga mambo, huwasiliana kwa akili miongoni mwao na wanafanana nasi binadamu zaidi kuliko viumbe wengine wowote.View attachment 3185462
Ata kama umechanganya, nimepemda story ya hao makatili wanakuachia jukumu la kufa ww na Mungu wako ππBasi nadhani nomewachanganya π€£
hao jamaa ni noma, yaani wanachomoa kimoja kimoja mpk mnyama afe mwenyewe makatiri sana.Ata kama umechanganya, nimepemda story ya hao makatili wanakuachia jukumu la kufa ww na Mungu wako ππ
ππ Hi Dunia hii.ni mnyama pekee anayewasaidia wazazi wake wanapokuwa wazee sana kwa kuwapelekea chakula
ππππ umewachanganya shekhe hawa wa kwako wanaweza wakamla mnyama wakambakisha roho tu.. sasa ni swala la mnyama na muumba wake afe au abakiBasi nadhani nomewachanganya π€£
Sisi tunachepuka, na pia huwa tunaoa wake wengi. Wengine hawawatunzi wazazi wao.wanafanana nasi binadamu zaidi kuliko viumbe wengine wowote.