Toka umezaliwa naamini ujawahi na wala hutegemei kusikia au kuona mnyama tofauti na binadamu ama kasuku akitumia ulimi kuongea,kumbe hata MBWA anaebweka,!mnyama huyu kashuhudiwa na maelfu ya watu,Mbwa ameongea.
Hapo hakuna tiriki yoyote,hiyo mubashara yani..duuuh
Mmmmh! Kasije kakawa ni ka robot, hawa wazungu siwaamini sana.Hapo hakuna tiriki yoyote,hiyo mubashara yani..
Sent from my itel it1409 using JamiiForums mobile app
Sio,Roboti mwepesi hivyoMmmmh! Kasije kakawa ni ka robot, hawa wazungu siwaamini sana.
kuna watu wanasema eti ni trick? kwenye hiyo America got talent hamna trick!! kuna watu washamba sana,wanaosema hiyo ni trick ndo hao hao wanaosemaga mbio za pikipiki au mchezo wa mieleka ni uongoHapo hakuna tiriki yoyote,hiyo mubashara yani..
Sent from my itel it1409 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni audio recording ya mtu akiongea, huyo mbwa anafungua tu mdomo
mkuu km una angaliaga america got talent hii mambo uto shangaa nishaon mbwa anaruka kamba, anacheza mziki hadi kuku anapiga kinanda vizuri tu kule kuna telents sn km ya mwaka huu kuna kitoto kilishinda anaitwa DARCI LYNNE huyu alikuwa anaimba bila kufungua mdomo halafu anaimba sauti zaidi ya tatuFix tupu
Ngoja niitafute hiyo show nithibitishemkuu km una angaliaga america got talent hii mambo uto shangaa nishaon mbwa anaruka kamba, anacheza mziki hadi kuku anapiga kinanda vizuri tu kule kuna telents sn km ya mwaka huu kuna kitoto kilishinda anaitwa DARCI LYNNE huyu alikuwa anaimba bila kufungua mdomo halafu anaimba sauti zaidi ya tatu
Mnaonaa,mkuu km una angaliaga america got talent hii mambo uto shangaa nishaon mbwa anaruka kamba, anacheza mziki hadi kuku anapiga kinanda vizuri tu kule kuna telents sn km ya mwaka huu kuna kitoto kilishinda anaitwa DARCI LYNNE huyu alikuwa anaimba bila kufungua mdomo halafu anaimba sauti zaidi ya tatu