Maajabu ya Magomeni Mapipa

Ndio nawachukia majambazi wa kichaga tatiZo liko wapi?

utachukia sana lakini huwezi kuwafikia hata chembe kuna gap kubwa sana hayo yako ni maneno ya chuki there is great gap with other ethnic groups you need to accept that fact
 

vipi yale maajabu ya pale posta mama ntilie kuuza vitumbua asubuhi?wamamantillie kubeba vyakula kwenye ndoo kutoka mbagala na maeneo mengine kwenda kukiuza posta?haya maajabu bado yapo?
 
ni kweli hiz nyumba ziko imara na ni za zamani sana. pia hakuna mafuriko wala maji kutuama ovyo labda kipindi hik cha ujenzi wa straabarg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…