Maajabu ya Klabu ya Simba

Ndio team ya kwanza kuanzisha tamasha la club utopolo wakaponda sana sasa hivi wanaita siku ya wananchi.
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.2M.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka MorogoroView attachment 2078277
Pia Simba ndiyo klabu ya kwanza kuwa na CEO,kutoka Kusini mwa Afrika
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.2M.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka MorogoroView attachment 2078277
Mshana Jr naona unatafuta pa kujifarijia.
 
Yanga ndo timu ya kwanza Tanzania kujulikana saana inje ya Tanzania na kuwa na mvuto mwingi
 
.... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!!
 
Nashauri uweke space vizuri kutoka namba kwa namba ili uto waone vizuri.
Simba ina historia nyingi sana.
images.jpg
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.2M.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka MorogoroView attachment 2078277
Namba 8 ni record ambayo itachukua muda mrefu kuivunja. Rais Kaunda alikuwa mgeni rasmi kwenye mchezo huo. Alikasirika, matokeo alivunja uongozi wa chama cha mpira Zambia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom