Maajabu ya exim bank

Maajabu ya exim bank

HUNIJUI SIKUJUI

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
1,335
Reaction score
1,615
kuna siku nliingia atm ya benki tofauti na kadi yangu(mastercard) ya exim(hizi mpya zenye chip wanazosema zina usalama zaidi) nikaingia nikadraw pesa lakini kumbe sikuangalia vizuri kumbe hiyo atm hasapoti mastercard nlikua na haraka..muamala ukafeli risiti pamoja screen ya atm vikanionesha nikaangalia vizuri nikagundua kua hiyo atm haisapoti mastercard nikahama atm nyingine nikatoa pesa nikaondoka.Sasa cha ajabu baadae exim smartapp ikaniletea taarifa kwamba pesa nilizotoa kwa hyo atm isiosapoti mastercard imetoka na muda ambao nilitoa pesa kama smartapp inavyosema ni tofauti kabisa na mda halisi niliotumia kutoa pesa kwa muamala uliofeli nikashangaa sana nikaenda ofisini kwao nikawaelezea wakanipa form nikajaza wakaniambia nisubiri pesa watanirudishia siku yoyote sasa ni mda umepita lakin sioni pesa yoyote walionirudishia hawa watu niwafanyaje???maana wamenipotezea mda sana

alafu hizo kadi mpya zenye chip wanazosema zina security kubwa mbona wanatudanganya ?????maana nimepoteza imani kabisa na usalama wa pesa zangu.Hzo pesa zilizotoka zimeenda wapi maana me naona kama wameniibia.Je naweza kuwachukulia hatua yoyote? maana sio siri wamenipotezea mda mpaka navyopost hii bado hawajanirudishia
 
cash not dispensed ni jambo la kawaida kwenye ATM nyingii ni network error lakin pesa huwa haipotei sema inahitaji uvumilivu kwa kawaida na utaratibu ulivyo kwa mabank yote ikitokea situation ka hiyo inatakia pesa irudi ndani ya mwezi mmoja coz umekatwa kwa bank ingine ila ingekua ATM ya exim within 24 hrs ATM yenyewe inakurudishia isipo kurudishia inarudishwa manually. pole sana mkuu Kuwa mvumilivu huo ndo uelewa wangu
 
Acha papara na fukuto la nafsi mkuu...

Fedha yako itarudi ni suala la muda tu...
 
Jiungeni na bank ya uchagoni pesa fasta
 
Back
Top Bottom