MAAJABU Unahitaji kujua umebakiwa na siku ngapi za kuishi duniani? Ipo app ya simu itakayokupa jibu

The Certified

JF-Expert Member
Feb 10, 2016
910
773
Macabre1.jpg

Ukuaji wa teknolojia unazalisha stori mpya kila siku ila leo huenda ukashtuka; unajua simu yako inaweza kukwambia siku yako ya kufa?

‘Macabre iPhone App’ ni application ambayo unaweza kuiweka kwenye simu yako na jukumu ambalo utakuwa nalo ni kuweka ratiba zako zote za siku nzima, application hiyo inapiga hesabu halafu inakupa majibu siku zako ngapi zimesalia kuishi duniani.

Kali zaidi ni kwamba majibu utakayopewa ya idadi ya miaka, miezi, wiki, siku na saa itakuwa inaonekana kwenye screen lock, kwa hiyo kila unapotoa lock ya kwenye screen itakuwa inaonekana hapo juu.

Majukumu yako ya siku ndiyo yataakayoamua siku ngapi utaishi.

Application hiyo inapatikana kwa simu za Apple zinazotumia iOS na Windows 8.

Unadhani uko tayari kuitumia application hii?
 
Macabre1.jpg

Ukuaji wa teknolojia unazalisha stori mpya kila siku ila leo huenda ukashtuka; unajua simu yako inaweza kukwambia siku yako ya kufa?

‘Macabre iPhone App’ ni application ambayo unaweza kuiweka kwenye simu yako na jukumu ambalo utakuwa nalo ni kuweka ratiba zako zote za siku nzima, application hiyo inapiga hesabu halafu inakupa majibu siku zako ngapi zimesalia kuishi duniani.

Kali zaidi ni kwamba majibu utakayopewa ya idadi ya miaka, miezi, wiki, siku na saa itakuwa inaonekana kwenye screen lock, kwa hiyo kila unapotoa lock ya kwenye screen itakuwa inaonekana hapo juu.

Majukumu yako ya siku ndiyo yataakayoamua siku ngapi utaishi.

Application hiyo inapatikana kwa simu za Apple zinazotumia iOS na Windows 8.

Unadhani uko tayari kuitumia application hii?
Rafiki.acha masiala basi,yaani sitaweza download hiyo makitu asee...sa ikiniambia ntadanja kesho je?ndo nichanganyikiwe?àh wapi
 
Rafiki.acha masiala basi,yaani sitaweza download hiyo makitu asee...sa ikiniambia ntadanja kesho je?ndo nichanganyikiwe?àh wapi
Hahahahaha nimeiweka kwangu tangu mwaka jana nikaiambia mimi nafanya kazi masaa 26 ikasema nakufa tarehe 28/12/16 ila hadi sasa nipo na ule muda umesimama
 
Naona humu tumejibia hisia zaidi wakati suala lenyewe ni la kisayansi....!!
 
Macabre1.jpg

Ukuaji wa teknolojia unazalisha stori mpya kila siku ila leo huenda ukashtuka; unajua simu yako inaweza kukwambia siku yako ya kufa?

‘Macabre iPhone App’ ni application ambayo unaweza kuiweka kwenye simu yako na jukumu ambalo utakuwa nalo ni kuweka ratiba zako zote za siku nzima, application hiyo inapiga hesabu halafu inakupa majibu siku zako ngapi zimesalia kuishi duniani.

Kali zaidi ni kwamba majibu utakayopewa ya idadi ya miaka, miezi, wiki, siku na saa itakuwa inaonekana kwenye screen lock, kwa hiyo kila unapotoa lock ya kwenye screen itakuwa inaonekana hapo juu.

Majukumu yako ya siku ndiyo yataakayoamua siku ngapi utaishi.

Application hiyo inapatikana kwa simu za Apple zinazotumia iOS na Windows 8.

Unadhani uko tayari kuitumia application hii?
Asante kwa kutujuza aina ya simu unayotumia ata kwenye android IPO mkuu inaitwa
Death calculator
 
Hii app wangeiita SIV au PIV haina tofauti sana na hili gonjwa, na zile IRV zinazotumika kule huku iwe ni kutokuidowload tu
 
Back
Top Bottom