Swali ni , "Je, kwani Mbowe mwenyewe anasemaje?
Acheni huruma feki eti aombe msamaha, kwama mwenyewe ameridhika kesi iende mpaka mwisho ni maamuzi yake, hyo jela angekuwa anaiogopa angeomba huo msamaha, na chadema wanashikilia msimamo wa chairman wao kwamba ni either kesi iendelee au aachiwe bila masharti kwa maana ya kufuta kesi, sasa tukishasema aombe msamaha aombe kwa kosa lipi? La kufanya ugaidi? Je ugaidi unafutwa kwa kuomba msamaha, mtu hatari kama gaidi anatokaje kwa kuomba msamaha, ni either mdhibitishe ni gaidi afungwe kwa kuwa ni hali ya gaidi kupotelea huko jela kwa usalama wa taifa letu, au mshindwe kudhibitisha mmuombe radhi kwa uwongo na mfute mashtaka, katika hili chadema wako sahihi .
Karne ya 21 mnataka tuishi zama za mfalme na watumwa za kuwaabudu watawala, sio sawa.