RUTAGAMBWA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 516
- 256
- Thread starter
- #21
Akili ndogo Sana hii Sina haja ya kukujibuNchi ya Rwanda ina ukubwa kama Mkoa wa DSM unaifananishaje na Tanzania??
Akili ndogo Sana hii Sina haja ya kukujibuNchi ya Rwanda ina ukubwa kama Mkoa wa DSM unaifananishaje na Tanzania??
Mchawi wa Tanzania ni CCM na watu wake.
Kweli MuuNaam Mkuu huu ndiyo ukweli halisi. Adui nambari one wa Watanzania si ukosefu wa elimu, si umaskini, si magonjwa bali adui mkubwa wa maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni hiki chama cha wahuni, majangili, watoa na wapo kwa rushwa, wezi na mafisadi.
Na fisadi mkuu atanyooshwa hivi pundeNaam Mkuu huu ndiyo ukweli halisi. Adui nambari one wa Watanzania si ukosefu wa elimu, si umaskini, si magonjwa bali adui mkubwa wa maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni hiki chama cha wahuni, majangili, watoa na wapo kwa rushwa, wezi na mafisadi.