Naona wadada wengi humu mmeniparamia kwa hasira.
Hivi kila msichana kaolewa na aliyemtoa bikra?
mkuu, nikupongeze kwa kuikemea dhambi ya uzinzi...lakini kizazi hiki, mmmmmh!!!
La hasha. Tatizo atittude mliokuja nayo leo imeniboa kama hamjawahi kutolewa hiyo kitu.
Jamani bikira zipo , me pia ninayo anayeitaka anitafute
Umeramba chili sauce
Watu mmekomaa na ndimu cjui magadi hivi kweli mnataka kuniambia mnaamini hakuna bikra original zote ni fake? Msipende kuconclude mambo hivo gals ambao ni bikra wapo tunaishi nao ww kama huna ni ww cyo kila gal unaemwona nikama ww watu wametofautiana kimalezi kimakuzi kiimani and by dha way bikra ts nat a big deal kivileeeeee kwa walio nazo.
Ya wapi?
Aah wapi.. Nikiingia chumvin hata kama atakua na hilo wazo hatakumbuka tena chezea mlambo wewe
Nina kauzoefu. Ile ilikua Original!