Siwezi kumuacha huyu. Nilikua natafuta mchepuko dogodogo siku nyingi sana.
Kama mnavyojua zombi halishibi damu. Nilipata contract pale Manzese J5 iliyopita katika kushangaa shangaa mida ya lunch nikaona mtoto akanivutia.
Nikaweka sera akazikubali akadai yeye ni f6 leaver basi tukapeana contact. Jana nimemuita Mariott amefka vizur tukapata kupiga stori na vinywaji lainii.. Utamu ukafika baada ya kuingia chumban namkuta mtoto sealed.
Kiukweli imenisuprise sana ukizingatia na eneo nililomtoa.
Maana aliniambia kazaliwa manzese kakulia manzese, kasomea manzese kasoro A level tu ndio kasoma Mbeya.
Kiukweli haka kamchepuko kamenishika kweli.
Ushauri
Mnaotafuta #unscrewed msichoke pitieni #Manzese bado wapo.!
Kwa malengo ya nyumba ndogo miss.
Tayari ni nyumba ndogo sema hana ndoa. Tatzo liko wapi?
Waifahamu SHABU wewe Window7?
Shabu ni dawa ya kuondoa tope katika maji
Kwa kimombo yaitwa ALIMINIUM SULPHATE
Wajua kazi yake ewe Mburura?
Ni kuwashika wanaume wajingawajinga wanaoendelea kutofuta bikra
Inawashika kama ishikavyo tope kunako maji ili yawe safi
Naona umeshakuwa safi umeamua kuweka miba
Naam! Umenasa huna ujanja.
Aksante Shabu
Bazazi
Hakuna haja ya kudhalilisha maeneo wanayoishi wanadamu wenzako.Manzese kwani kuna upekee gani Mkuu? Wewe unaishi wapi? Kila mtu akianza kuponda na kupenda sehemu hautabaki salama
Bikra mbona zipo nyingii 2, inawezekana mlivopeana kisogo tu Bikra yake ikarudi tena...
Nimeng'oa bikra nyingi lakini hiyo yako ni zile za Tanga.Mkuu inaonyesha sio mzoefu wa hizi unscrewed.
Uzinzi ni dhambi na mshahara wa dhambi ni mauti...