Maajabu ni mengi sana

Tanzania Nchi Yetu Sote

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
526
Reaction score
903
Katiba ya "inji" NO

Katiba ya Chama YES

Bunge Live NO

RC Bashite Live YES

CNN, BBC NO

SHILAWADU YES

Kutembelea wafungwa NO

Kuombewa YES


Sorry, unaongea na mimi au unaongea na simu? Inasemekana eti Ubuyu umefika hadi kwa mkuu. Yani mkuu anasikiliza habari za msambwanda wa Gigy Money na Amber Lulu..
Inasemekana lakini... Shilawadu nyie shilawadu.!!

By *Malisa*
 
Inasemekana etii........ clouds tv eti..... ndo chanell ya taifa izi ni habar kutoka kwa snitch mzur mzur na imethibitisha na mkuu wa taifa la walala hoi ivi asubuh ktk kpnd cha 360
 
Hahahaha mkulu yuko busy kufatilia habari za shishi baby na beef la lulu na hamisa.

Unaongea na mimi au unaongea na simu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…