Mjamaajr
Senior Member
- Nov 13, 2013
- 110
- 82
Habari wanajf..
Leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kwenda Jela miaka Mitatu waliokuwa mawaziri wa nchi hii kwa kosa la kusamehe kodi ambayo ingesaidia wananchi kujikwamua kutoka kwenye umasikini.
Hilo sio ajabu nilichoshangaa mimi kitendo cha vijana wawili mkoani Kagera kuhukumiwa Miaka 30 Jela kwa kosa la wizi wa mali ya Tsh 16m .
Sasa sijui sheria zimekaaje hapo yaani hata sielewi labda mnisaidie.
Leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kwenda Jela miaka Mitatu waliokuwa mawaziri wa nchi hii kwa kosa la kusamehe kodi ambayo ingesaidia wananchi kujikwamua kutoka kwenye umasikini.
Hilo sio ajabu nilichoshangaa mimi kitendo cha vijana wawili mkoani Kagera kuhukumiwa Miaka 30 Jela kwa kosa la wizi wa mali ya Tsh 16m .
Sasa sijui sheria zimekaaje hapo yaani hata sielewi labda mnisaidie.