mbeleavata yako inanichanganya.. sasa wewe ni yupi hapo wa mbeleee.. au wa nyumaaa?
enh!! vipi amekupima vizurii au hakupatiaa?
hahahaaaaaa uuuwwwwwiiiiiii!!!!!!!! yelewwwwiiii.... ashenallee... maksalee..
alipatia mkuu hata hawa wapo wkwenye foleni ya kushonewa
πππ huo upimaji kukosea ni lazima chezea mafunsu wa udigoni weyemmmmmh mbona naona kama amepindisha mshono