bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 869
Kama alikwenda mbinguni inamaana alikufa kwanza kwa hiyo inamaana alikufa mara 4??? mi nahisi huyo jamaa hana tofauti na KIGWANGALA rais wa ccm
HATA Manabii wakati wanaanza kujitokeza kwenye jamii walichekwa, tukanwa na kubezwa zaidi ya hivi, Lakini at the end walikuja kuthibitisha Ukweli Wao Kivitendo....!!!
Lakini kwa huyu, duh! Cheki kwanza hilo POZI alilokaa, Ukimwangalia vizuri unamwona kabisa ni DUDE mtupu!!!!
I am not supporting this nonsense Anyway.... Binadamu tumejawa na frustrations za maisha sana, duh!
kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni .Kenya kuna mwingine anajiita Mungu na ana kanisa lake ila kwenye ufunuo wameyazungumza yote haya ya kina nabii tito
Ahsante... Short Answer Little Explaination:
Hakuna Power Ya Mtu Kuweza Kutoka Nje Ya Dunia Iliokinga Na Ardhi.. Ipo Ya Mtu Kutoka Nje Ya Mwili Na Kurejea...
#Rakims
Mimi nafikiri la msingi hapa tukubaliane kwanza mbinguni ni wapi na kama mtu anaweza kwenda na kurudi na aina ya usafiri unaotumika kwenda huko vinginevyo tunapoteza muda.