Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
Mkuu Hii juisi yake unalimenya au Na maganda yake? Unaongeza sukari ama? Naomba kujuzwa.Tango ni kitu cha ajabu sana, kuna mda niliamua kunywa juisi yake grasi kama 5 hivi usiku nilipata shida sana, kila nikishtuka nilikuwa nakuta nimelowa chapa chapa kama vile nimetoka mtoni. Mwanzo sikuelewa lakini nikagundua hii hari ilikuwa inatokea kila nilipkuwa nikitumia ile juisi ..nahisi inafanya kazi kubwa sana mwilini.
Nalog off