China inatarajiwa hivi karibun kukumbwa na hali ya baridi kali katika kipindi hiki cha masika licha ya hayo yote kumetokea vitu vya kuastaajabisha kutokana na watu mbalimbali nchini humo kufanya michezo ya hatari kwenye barafu iliyoganda Mwanamke akiogolea kwenye mto Songhuajiang ulioganda kwa barafu wanajeshi wakifanya mazoezi kwa kutumia barafujamaa akicheza bao akiwa ndani ya box lililojaa barafu