Maajabu 10 ya CHADEMA na viongozi wake

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,747
1. Kuwatetea wanaCCM waliopewa adhabu kuliko wanaCCM wenyewe kiasi cha kutoa cheo cha ushujaa kwa wanaofukuzwa ama kupewa adhabu kutokana na kwenda kinyume na chama cha CCM.

2. Wanamchukia Prof Ibrahim Lipumba kuliko hata wana CUF wenyewe kiasi cha kutamani kutumia nguvu kumuondoa madarakani, nadhani hii ni kwasababu Maalim Seif anacheza ngoma za CHADEMA.

3. Hakuna mbunge wa viti maalum asiye na mvuto wote ni warembo wenye mvuto wa hali ya juu , kuhusu upatikanaji wao ni siri ya m/kiti na wadau wake .

4. Kuongea kwa sauti kali kwa kufoka na vibwagizo vya matusi ni ishara ya kuwa kamanda imara , matusi ni sehemu ya ukakamavu CHADEMA.

5. Hakuna tukio wanalotaka lipite bila kufanya siasa iwe msiba, majanga , ujambazi lazima iwe fursa ya kisiasa kwao .

6. M/kiti wa chama ni mfalme mawazo yake ni hakuna kuyapinga zaidi ya kutekeleza .

7. Lowassa ni muhimu kuliko wanachama wote CHADEMA kama unaipenda CHADEMA anza kumpenda Lowassa.

8. Pamoja na mapato makubwa hawana ofisi na hawana mpango kujenga ofisi hii ni kwasababu m/kiti ana 10% kwenye malipo ya kodi.

9. Ni kosa kuhoji elimu ya m/kiti wao MBOWE lakini ruksa kushambikia elimu za viongozi wa vyama vingine, ukitaka mwisho wako CHADEMA uliza Taaluma ya Mbowe.

10. Wanalalamika katiba ya CCM kumpa fursa JPM kugombea urais 2020 wakati wanasema hakubaliki , badala ya kufurahia kushindana na mgombea asiyekubalika wanaishia kulalamika.
 
Wamepitisha Mikataba Yote Mibovu Ndani Ya Bunge Rada Dowans Epa Meremeta Kagoda Ndege Ya Rais Gas Na Madini,kweli Wanamajabu
 
1. Kuwatetea wanaCCM waliopewa adhabu kuliko wanaCCM wenyewe kiasi cha kutoa cheo cha ushujaa kwa wanaofukuzwa ama kupewa adhabu kutokana na kwenda kinyume na chama cha CCM.

2. Wanamchukia Prof Ibrahim Lipumba kuliko hata wana CUF wenyewe kiasi cha kutamani kutumia nguvu kumuondoa madarakani, nadhani hii ni kwasababu Maalim Seif anacheza ngoma za CHADEMA.

3. Hakuna mbunge wa viti maalum asiye na mvuto wote ni warembo wenye mvuto wa hali ya juu , kuhusu upatikanaji wao ni siri ya m/kiti na wadau wake .

4. Kuongea kwa sauti kali kwa kufoka na vibwagizo vya matusi ni ishara ya kuwa kamanda imara , matusi ni sehemu ya ukakamavu CHADEMA.

5. Hakuna tukio wanalotaka lipite bila kufanya siasa iwe msiba, majanga , ujambazi lazima iwe fursa ya kisiasa kwao .

6. M/kiti wa chama ni mfalme mawazo yake ni hakuna kuyapinga zaidi ya kutekeleza .

7. Lowassa ni muhimu kuliko wanachama wote CHADEMA kama unaipenda CHADEMA anza kumpenda Lowassa.

8. Pamoja na mapato makubwa hawana ofisi na hawana mpango kujenga ofisi hii ni kwasababu m/kiti ana 10% kwenye malipo ya kodi.

9. Ni kosa kuhoji elimu ya m/kiti wao MBOWE lakini ruksa kushambikia elimu za viongozi wa vyama vingine, ukitaka mwisho wako CHADEMA uliza Taaluma ya Mbowe.

10. Wanalalamika katiba ya CCM kumpa fursa JPM kugombea urais 2020 wakati wanasema hakubaliki , badala ya kufurahia kushindana na mgombea asiyekubalika wanaishia kulalamika.

Kapange foleni kwa Ndugai basi ili akupe japo Sitting allowance ya siku moja
 
Mwenyekiti Wao Upinzani Kwake Ni Uadui,aliwapiga Mkwara Waliotaka Kumwona Lema Gerezani,mkuu Wa Mkoa Anatakiwa Awe Anajua Kusoma Na Kuandika Dereva Awe Ana Cheti Cha Form4 Daaah Maajabu Xa Cdm Yapo Meng Sna Ongezea Na Mwenyekiti Wao Amewaona Wanachama Wake Zaidi Ya Mil5 Hakuna Anayefaa Kuwa Rc Akaamua Kuchuku Viongozi Wa Upinzani
 
1. Kuwatetea wanaCCM waliopewa adhabu kuliko wanaCCM wenyewe kiasi cha kutoa cheo cha ushujaa kwa wanaofukuzwa ama kupewa adhabu kutokana na kwenda kinyume na chama cha CCM.

2. Wanamchukia Prof Ibrahim Lipumba kuliko hata wana CUF wenyewe kiasi cha kutamani kutumia nguvu kumuondoa madarakani, nadhani hii ni kwasababu Maalim Seif anacheza ngoma za CHADEMA.

3. Hakuna mbunge wa viti maalum asiye na mvuto wote ni warembo wenye mvuto wa hali ya juu , kuhusu upatikanaji wao ni siri ya m/kiti na wadau wake .

4. Kuongea kwa sauti kali kwa kufoka na vibwagizo vya matusi ni ishara ya kuwa kamanda imara , matusi ni sehemu ya ukakamavu CHADEMA.

5. Hakuna tukio wanalotaka lipite bila kufanya siasa iwe msiba, majanga , ujambazi lazima iwe fursa ya kisiasa kwao .

6. M/kiti wa chama ni mfalme mawazo yake ni hakuna kuyapinga zaidi ya kutekeleza .

7. Lowassa ni muhimu kuliko wanachama wote CHADEMA kama unaipenda CHADEMA anza kumpenda Lowassa.

8. Pamoja na mapato makubwa hawana ofisi na hawana mpango kujenga ofisi hii ni kwasababu m/kiti ana 10% kwenye malipo ya kodi.

9. Ni kosa kuhoji elimu ya m/kiti wao MBOWE lakini ruksa kushambikia elimu za viongozi wa vyama vingine, ukitaka mwisho wako CHADEMA uliza Taaluma ya Mbowe.

10. Wanalalamika katiba ya CCM kumpa fursa JPM kugombea urais 2020 wakati wanasema hakubaliki , badala ya kufurahia kushindana na mgombea asiyekubalika wanaishia kulalamika.

Unafikiri bila kuwa na sauti kali kukemea mapepo ya Lumumba, yatatoka kweli?
 
1. Kuwatetea wanaCCM waliopewa adhabu kuliko wanaCCM wenyewe kiasi cha kutoa cheo cha ushujaa kwa wanaofukuzwa ama kupewa adhabu kutokana na kwenda kinyume na chama cha CCM.

2. Wanamchukia Prof Ibrahim Lipumba kuliko hata wana CUF wenyewe kiasi cha kutamani kutumia nguvu kumuondoa madarakani, nadhani hii ni kwasababu Maalim Seif anacheza ngoma za CHADEMA.

3. Hakuna mbunge wa viti maalum asiye na mvuto wote ni warembo wenye mvuto wa hali ya juu , kuhusu upatikanaji wao ni siri ya m/kiti na wadau wake .

4. Kuongea kwa sauti kali kwa kufoka na vibwagizo vya matusi ni ishara ya kuwa kamanda imara , matusi ni sehemu ya ukakamavu CHADEMA.

5. Hakuna tukio wanalotaka lipite bila kufanya siasa iwe msiba, majanga , ujambazi lazima iwe fursa ya kisiasa kwao .

6. M/kiti wa chama ni mfalme mawazo yake ni hakuna kuyapinga zaidi ya kutekeleza .

7. Lowassa ni muhimu kuliko wanachama wote CHADEMA kama unaipenda CHADEMA anza kumpenda Lowassa.

8. Pamoja na mapato makubwa hawana ofisi na hawana mpango kujenga ofisi hii ni kwasababu m/kiti ana 10% kwenye malipo ya kodi.

9. Ni kosa kuhoji elimu ya m/kiti wao MBOWE lakini ruksa kushambikia elimu za viongozi wa vyama vingine, ukitaka mwisho wako CHADEMA uliza Taaluma ya Mbowe.

10. Wanalalamika katiba ya CCM kumpa fursa JPM kugombea urais 2020 wakati wanasema hakubaliki , badala ya kufurahia kushindana na mgombea asiyekubalika wanaishia kulalamika.
OK sawa, Tatizo lako nini? au ni kipi kinakuwasha? Mbona nyie awamu ya nne mlikuwa mkiteua wakuu wa wilaya warembo tupu? Na hatukusema kitu iweje siye mnatuingilia? Kilichowafanya nyie kuteua wakuu wa wilaya bomba ndo hicho hicho kimetufanya na siye kuteua wabunge bomba.
 
1. Kuwatetea wanaCCM waliopewa adhabu kuliko wanaCCM wenyewe kiasi cha kutoa cheo cha ushujaa kwa wanaofukuzwa ama kupewa adhabu kutokana na kwenda kinyume na chama cha CCM.

2. Wanamchukia Prof Ibrahim Lipumba kuliko hata wana CUF wenyewe kiasi cha kutamani kutumia nguvu kumuondoa madarakani, nadhani hii ni kwasababu Maalim Seif anacheza ngoma za CHADEMA.

3. Hakuna mbunge wa viti maalum asiye na mvuto wote ni warembo wenye mvuto wa hali ya juu , kuhusu upatikanaji wao ni siri ya m/kiti na wadau wake .

4. Kuongea kwa sauti kali kwa kufoka na vibwagizo vya matusi ni ishara ya kuwa kamanda imara , matusi ni sehemu ya ukakamavu CHADEMA.

5. Hakuna tukio wanalotaka lipite bila kufanya siasa iwe msiba, majanga , ujambazi lazima iwe fursa ya kisiasa kwao .

6. M/kiti wa chama ni mfalme mawazo yake ni hakuna kuyapinga zaidi ya kutekeleza .

7. Lowassa ni muhimu kuliko wanachama wote CHADEMA kama unaipenda CHADEMA anza kumpenda Lowassa.

8. Pamoja na mapato makubwa hawana ofisi na hawana mpango kujenga ofisi hii ni kwasababu m/kiti ana 10% kwenye malipo ya kodi.

9. Ni kosa kuhoji elimu ya m/kiti wao MBOWE lakini ruksa kushambikia elimu za viongozi wa vyama vingine, ukitaka mwisho wako CHADEMA uliza Taaluma ya Mbowe.

10. Wanalalamika katiba ya CCM kumpa fursa JPM kugombea urais 2020 wakati wanasema hakubaliki , badala ya kufurahia kushindana na mgombea asiyekubalika wanaishia kulalamika.
Baada ya mision yenu ya jana kufeli umekuja na mataputapu ya vyoo vya Lumumba, kiufupi wewe ni mnafiki na mfitini sana ni suala la muda tu hayo yooote ni cheap politics na utabwabwaja sana! Uimara wa cdm ndio unakutoa mkojo kama punda...
Haya kachukue buku7
 
Ushachelewa. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ashapatikana. Akili yako ilivyo huwez kupewa nafas iliyobaki ya Wizara ya Nishati na Madini
 
Back
Top Bottom