Chief Mwigendya
JF-Expert Member
- Nov 28, 2024
- 228
- 196
Jana katibu wa Itikadi na uenezi CCM Amos Makala aliongea na vyombo vya habari na kusema kuwa majina ya wagombea udiwani kupitia CCM nchi nzima yarudishwe yote ili yakapigiwe kura na wanachama naona agizo hili kwenye ikoa niliyopita halijatekelezwa kulikoni?
Wadau huko kwenye mikoa yenu vipi agizo limetekelezwa ?
Wadau huko kwenye mikoa yenu vipi agizo limetekelezwa ?